Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaonya kuhusu mashambulio ya Urusi

Muungano unaoongozwa na Marekani kukabiliana na wapiganaji wa IS umesema mashambulio ya Urusi nchini Syria yanadhuru wanaompinga Assad.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kutoivamia Ukraine

Marekani imeionya serikali ya Moscow isithubutu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ukraine

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yaonya kuhusu hatari ya vita Syria

Urusi imeonya kuwa kuna hatari ya kuzuka vita hatari Syria baada ya Marekani kusema itawatuma wanajeshi maalum kusaidia waasi Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaionya Urusi kuhusu Ukraine.

Marekani imeonyesha wasiwasi wake kuhusu kile ilichokitaja kama hatua ya Urusi kuchochea ghasia mashariki mwa Ukrain.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiomba Urusi kuhusu waangalizi

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry aiagiza Urusi kupigania uhuru wa waangalizi wa kijeshi waliotekwanyara .

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria

Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin atetea mashambulio ya Urusi Syria

Vladimir Putin amesema lengo la mashambulio ya ndege za Urusi nchini Syria ni kusaidia utawala halali wa Rais Assad.

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya Urusi isiingie Ukraine

EU imeonya Urusi isitume majeshi yake ndani ya Ukraine kwa kisingio cha kutoa misaada.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaonya dhidi ya kutumia jeshi

Kikao cha dharura cha umoja wa mataifa chajadili kudorora kwa usalama Ukraine

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani