Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kizungumkuti uchunguzi ndege ya kulipuliwa

Maofisa wa upelelezi wa ajali za ndege kutoka Misri wamesema hawajapata ushahidi wa kulipuliwa kwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 nchini Syria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege

Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo

 

11 years ago

Mwananchi

Mchimbaji afariki kwa kulipuliwa na baruti

 Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kulipuliwa na baruti akiwa mgodini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yasababisha Bajeti ya Elimu kupitishwa kwa kulipuliwa

>Licha ya kuwa na upungufu kadhaa uliobainika, Kamati ya Huduma za Jamii imepitisha bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya 2015/16, tayari kwenda kuwasilishwa bungeni kwenye Bunge la Bajeti linalotarajiwa kuanza Mei, 12.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

10 years ago

Mwananchi

Kizungumkuti

Utata umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitishwa kwa Katiba Inayopendekezwa ambayo wiki iliyopita ilikabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete: Serikali 3 kizungumkuti

RAIS Jakaya Kikwete amesema muundo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Marekebisho ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba hautekelezeki na kusema kero za Muungano zinaweza kutatulika kwa kuendelea na serikali mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

Takwimu za Rasimu ‘kizungumkuti’

Bunge Maalumu la Katiba limezidi kuweweseka na takwimu zilizotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, baada ya Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta kuwatangazia wajumbe kusoma uchambuzi wa takwimu hizo uliofanywa na mjumbe mwenzao, Profesa Remmy Assey.

 

9 years ago

Mwananchi

Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’

Zikiwa zimefikia siku 130 tangu Rais Jakaya Kikwete alipotembelea waathirika wa mafuriko eneo la Buguruni kwa Mnyamani ambako aliagiza kuvunjwa kwa nyumba zilizojengwa juu ya karavati lililoziba na kusababisha maji kujaa kwenye nyumba za wakazi wa maeneo hayo, agizo hilo bado halijatekelezwa ipasavyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani