Kizungumkuti
Utata umezidi kugubika kura mbili zilizowezesha kupitishwa kwa Katiba Inayopendekezwa ambayo wiki iliyopita ilikabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Mgomo wa mabasi kizungumkuti
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Agizo la JK Buguruni ‘kizungumkuti’
11 years ago
Habarileo23 Mar
Kikwete: Serikali 3 kizungumkuti
RAIS Jakaya Kikwete amesema muundo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Marekebisho ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba hautekelezeki na kusema kero za Muungano zinaweza kutatulika kwa kuendelea na serikali mbili.
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Tiketi Ubungo kizungumkuti
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
ABIRIA waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT).
MTANZANIA lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro.
Katika tukio hilo, baadhi ya abiria walivuruga utaratibu wa foleni kwa kuwavuka wenzao na kujisogeza...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Takwimu za Rasimu ‘kizungumkuti’
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Bunge la Katiba kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Escrow bado kizungumkuti
10 years ago
Habarileo25 Nov
Muswada wa Bodi ya Mikopo kizungumkuti
BUNGE jana liliamuru kwa mara nyingine, Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2014, kwenda kufanyiwa marekebisho na kurudishwa kwa sehemu ya muswada huo kuhusu marekebisho ya Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu.
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Kizungumkuti cha uraia pacha