Mgomo wa mabasi kizungumkuti
Dar es Salaam. Hali ya sintofahamu imetawala mpango wa wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani kufanya mgomo wa wiki moja kuanzia leo, kutokana na baadhi kutokatisha tiketi za safari za leo na wengine kukatisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.

Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...
10 years ago
Dewji Blog04 May
NEWS ALERT!!! Mgomo wa madereva tena hali tete Ubungo na baadhi ya maeneo usafiri kizungumkuti!!
Eneo la Ubungo ambalo kwa sasa mabasi yamegoma abiria wakiwa hawana la kujua nini la kufanya !!!!! taaarifa na picha zaidi zitaendelea kutolewa na mtandao huu ambao upo eneo la tukio!!.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
New Alert Mgomo wa madereva Saga! ni kuwa tayari madereva wa mabasi wamegoma tena siku ya leo Mei 4, kutokana na mashiniko mbalimbali ya madai yao kwa Serikali. Hata hivyo hali kwa Ubungo bado ni tete licha ya vulumai ya hapa na pale ikiwemo askari wa usalama barabarani...
10 years ago
Habarileo06 May
Mgomo wa mabasi wasitishwa
HUDUMA za usafiri wa mabasi ya mikoani na daladala, zilizokuwa zimekwama kwa saa 31 kuanzia alfajiri ya juzi, zilirejea jana mchana.
10 years ago
Habarileo05 May
Mgomo wa mabasi balaa
MGOMO wa mabasi ulioibuka jana, umeitikisa nchi kiasi cha kusimamisha shughuli nyingi na kusababisha adha kwa wadau katika sekta nzima ya usafirishaji.
10 years ago
VijimamboMGOMO WA MABASI BADO UNAENDELEA
11 years ago
Michuzi30 Jun
MGOMO WA MADREVA WA MABASI KAHAMA
Mabasi yanayosafirisha Abiria Kutoka kahama kwenda mikoani leo yamegoma kusafirisha abiria wakishinikiza serikiali kuingilia kati suala la...
10 years ago
Uhuru Newspaper10 years ago
Habarileo07 May
Mgomo wa mabasi kuwa historia
MGOMO wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani, daladala na malori huenda usitokee tena nchini na hivyo kubaki kuwa suala la kihistoria.
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wamiliki mabasi watangaza mgomo
CHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), kimetangaza kusitisha huduma za usafiri nchi nzima keshokutwa endapo madai yao ya msingi hayatashughulikiwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...