Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.

Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Gilliard Ngewe.Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimesisitiza msimamo wake wa kusitisha kutoa huduma ya usafiri leo, huku Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini Nchini (Sumatra) ikionya kuwa itamfutia leseni ya usafirishaji yeyote atakayegoma.

Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

friends rangers vs African lyon jino kwa jino uwanja wa karume kesho

KIKOSI cha timu ya Friends Rangers, kesho kinajitupa kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam kuvaana na timu ya African Lyon, katika mchezo wa ligi daraja la kwanza.  Ofisa habari wa Friends Rangers, Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo wa pili kwa timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo.  Kigundula alisema kuwa kikosi chao kipo katika hali kubwa ya kuhakikisha haitapoteza mchezo huo.  Alisema kikosi chao chini ya kocha wao Ally Yusuph 'Tigana' kina...

 

10 years ago

Bongo5

Jino kwa Jino? Ex wa Zari ala bata na Wema South, mpambe asema ‘What goes around comes around (Picha)

Ivan Ssemwanga, aliyekuwa mume wa Zari The Bosslady na aliyezaa naye watoto watatu ameanza kurusha mashambulizi kwa adui yake namba moja, Diamond Platnumz. Kuanzia Kulia: King Lawrence, Ivan Ssemwinga na Wema Sepetu Mfanyabiashara huyo mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini huenda akalipiza kisasi kwa Diamond anayetarajia kupata mtoto wake wa kwanza kutoka kwa Zari kwa […]

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Hall, Pluijm jino kwa jino

>Makocha Hans Pluijm wa Yanga na Stewart Hall wa Azam wameanza kurushiana vijembe ikiwa ni siku moja kabla ya timu zao kukutana katika robo fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame.

 

11 years ago

Mwananchi

CDA, Bulyanhulu jino kwa jino Ligi ya Mabingwa

Klabu za Mji Mkuu (CDA) ya Dodoma na Bulyanhulu FC ya Shinyanga zimeanza kuonyesha dhamira ya kupigana vikumbo kugombea nafasi ya kwanza kituo cha Morogoro katika Ligi ya Mabingwa ya Mikoa kwa kukusanya pointi saba katika ngwe ya kwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Pazi, Jogoo jino kwa jino leo

Ligi ya mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA) inaendelea leo kwa Pazi kuikabili Jogoo na Chui kuonyeshana kazi na Oilers.

 

11 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI JINO KWA JINO NA WASHABIKI WA TUBINGEN, UJERUMANI MWISHO MWA WIKI HII !

Tubingen,Ujerumani,Washabiki na wadau wa muziki nchini Ujerumani wanatarajia kujimwaga katika maonyesho ya 5th International African Festival Tubingen 2014, Ujerumani, yanayoanza wiki hii 17 Julai, 2014 hadi 20 Julai, 2014ambako bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band inatarajiwa kutumbuiza Usiku wa jumamosi katika maonyesho hayo.Bendi hiyo  inayoongozwa na kamanda Ras Makunja, kama ujuavyo ni yenye mazoea ya kuwatia kiwewe washabiki kila wanapotumbuiza.

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema, ACT jino kwa jino

mtanzaniadaily 21 april .inddBAKARI KIMWANGA NA SHOMARI BINDA, MUSOMA

NI dhahiri sasa vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo vimeanza kuumana jino kwa jino kutokana na kupishana kwenye mikutano ya kisiasa inayoendelea mikoani.
Wakati vyama hivyo vikiendelea kuchuana na kujaza mamia ya wananchi kwenye mikutano yao, viongozi wake wamekuwa wakituhumiana kwa mambo mbalimbali.
Vyama hivyo vimekuwa vikipishana katika kanda tangu vilipoanza ziara za mikoani hivi karibuni. Wakati Naibu Katibu Mkuu wa Chadema-Bara, John Mnyika akiwa...

 

11 years ago

Mtanzania

Warioba, CCM jino kwa jino

Jaji Joseph Warioba

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka tena na kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kuwa anatumia mchakato wa Katiba kama mradi binafsi wa kujitafutia maisha, historia na heshima mbele ya jamii.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye, alimshutumu Warioba na wajumbe wake kwa kutoa lugha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watawala wakihimiza jino kwa jino

JAMANI, msitake nilie badala ya kucheka kwa uchungu. Siamini na sijui kama ni kweli hili ninalosikia limetendeka. Eti Rais wangu mpendwa Jakaya Mrisho wa Kikwete, ametoa kauli akiwataka viongozi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani