Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MGOMO WA MABASI BADO UNAENDELEA

Mabasi yakiwa yameegeshwa Kituo cha Mabasi Ubungo baada ya madereva kuwa katika mgomo wa kimasilahi Dar es Salaam jana na leo. Mgoma huo umefanyika nchi nzima ukihusisha na daladala hivyo kuleta adha kwa wananchi.Wananchi wakitembea maeneo ya Jangwani kutokana na mgomo huo.Wanafunzi na watu wengine wakitembea maeneo ya chuo cha maji Ubungo wakielekea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)Hali ilivyokuwa stendi ya Ubungo.Baadhi ya madereva, wapiga debe na makondakta wakikimbia huku wakiimba...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA

Na Mwenekaya Said,Globu ya Jamii - Kisutu 
KESI  ya  mauaji ya kukusudia  inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi  kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...

 

11 years ago

GPL

UPDATES: MOTO BADO UNAENDELEA KUTEKETEZA MALI KATIKA JENGO LA RK

Moshi mkubwa ukitoka katika jengo la RK. MOTO bado ni mkubwa na unaendelea kuteketeza mali katika jengo la RK lililopo Jet Barabara ya Nyerere japo vikosi mbalimbali vya Zimamoto vipo vikiendelea kujaribu kuzuia moto huo. Magari yenye maji yanazidi kuongezwa eneo la tukio ambapo watu ni wengi wanaoshuhudia tukio hilo. Mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyeripotiwa kupoteza maisha wala kujeruhiwa katika tukio… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.

Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Gilliard Ngewe.Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimesisitiza msimamo wake wa kusitisha kutoa huduma ya usafiri leo, huku Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini Nchini (Sumatra) ikionya kuwa itamfutia leseni ya usafirishaji yeyote atakayegoma.

Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgomo wa mabasi kizungumkuti

Dar es Salaam. Hali ya sintofahamu imetawala mpango wa wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani kufanya mgomo wa wiki moja kuanzia leo, kutokana na baadhi kutokatisha tiketi za safari za leo na wengine kukatisha.

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo wa mabasi balaa

Mabasi ya abiria yafanyayo safari zake mikoani yakiwa Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo Dar es Salaam jana wakati madereva wakiwa katika mgomo wa kudai maslahi yao kutoka kwa waajiri.(Na Mpigapicha Wetu).MGOMO wa mabasi ulioibuka jana, umeitikisa nchi kiasi cha kusimamisha shughuli nyingi na kusababisha adha kwa wadau katika sekta nzima ya usafirishaji.

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo wa mabasi wasitishwa

Mabasi yakianza kuondoka katika Kituo Kikuu Ubungo, Dar es Salaam jana kuelekea mikoani baada ya madereva kusitisha mgomo wao.w Picha nyingine ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na madereva na makondakta wa mabasi hayo. (Picha zote na Fadhili Akida).HUDUMA za usafiri wa mabasi ya mikoani na daladala, zilizokuwa zimekwama kwa saa 31 kuanzia alfajiri ya juzi, zilirejea jana mchana.

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo wa mabasi kuwa historia

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul MakondaMGOMO wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani, daladala na malori huenda usitokee tena nchini na hivyo kubaki kuwa suala la kihistoria.

 

11 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADREVA WA MABASI KAHAMA

Hali ilivyokuwa katika mgomo huo abiria wakiwa wamejaa stand ya mabasi Kahama bila kujua hatma yao Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani Wilayani Kahama mkoani Shinyanga limefanikiwa kuzuia mgomo wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani ambao wanapinga kutozwa faini isiyo halali na kufanyiwa udhalilishaji na baadhi ya Askari wa kitengo hicho.

Mabasi yanayosafirisha Abiria Kutoka kahama kwenda mikoani leo yamegoma kusafirisha abiria wakishinikiza serikiali kuingilia kati suala la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki mabasi watangaza mgomo

CHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), kimetangaza kusitisha huduma za usafiri nchi nzima keshokutwa endapo madai yao ya msingi hayatashughulikiwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani