MGOMO WA MADREVA WA MABASI KAHAMA
Hali ilivyokuwa katika mgomo huo abiria wakiwa wamejaa stand ya mabasi Kahama bila kujua hatma yao
Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani Wilayani Kahama mkoani Shinyanga limefanikiwa kuzuia mgomo wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani ambao wanapinga kutozwa faini isiyo halali na kufanyiwa udhalilishaji na baadhi ya Askari wa kitengo hicho.
Mabasi yanayosafirisha Abiria Kutoka kahama kwenda mikoani leo yamegoma kusafirisha abiria wakishinikiza serikiali kuingilia kati suala la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngwew-29April2015.jpg)
Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Mgomo wa mabasi kizungumkuti
10 years ago
Habarileo06 May
Mgomo wa mabasi wasitishwa
HUDUMA za usafiri wa mabasi ya mikoani na daladala, zilizokuwa zimekwama kwa saa 31 kuanzia alfajiri ya juzi, zilirejea jana mchana.
10 years ago
Habarileo05 May
Mgomo wa mabasi balaa
MGOMO wa mabasi ulioibuka jana, umeitikisa nchi kiasi cha kusimamisha shughuli nyingi na kusababisha adha kwa wadau katika sekta nzima ya usafirishaji.
10 years ago
VijimamboMGOMO WA MABASI BADO UNAENDELEA
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wamiliki mabasi watangaza mgomo
CHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), kimetangaza kusitisha huduma za usafiri nchi nzima keshokutwa endapo madai yao ya msingi hayatashughulikiwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...
10 years ago
Habarileo07 May
Mgomo wa mabasi kuwa historia
MGOMO wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani, daladala na malori huenda usitokee tena nchini na hivyo kubaki kuwa suala la kihistoria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfHMA2pURk6yTWkjGbRm1GoJTvnltu4RmnFJmsTib5aWw9uBkZzZM3xUj9K0VLT4CtHrlMfPOUkMNgcHOSBTY0D/breakingnews.gif)
MGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO
10 years ago
Uhuru Newspaper