UPDATES: MOTO BADO UNAENDELEA KUTEKETEZA MALI KATIKA JENGO LA RK
![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8Icmvqfo*BMtMwSo5cJ6YSnP4QQlE9Y94BCBynFVVRBMDZEaSinf61eggNZ2G0XOxOnZrQsBfnGQcXMt74ueVJWYy/MOTO3.jpg)
Moshi mkubwa ukitoka katika jengo la RK. MOTO bado ni mkubwa na unaendelea kuteketeza mali katika jengo la RK lililopo Jet Barabara ya Nyerere japo vikosi mbalimbali vya Zimamoto vipo vikiendelea kujaribu kuzuia moto huo. Magari yenye maji yanazidi kuongezwa eneo la tukio ambapo watu ni wengi wanaoshuhudia tukio hilo. Mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyeripotiwa kupoteza maisha wala kujeruhiwa katika tukio… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL10 years ago
VijimamboMGOMO WA MABASI BADO UNAENDELEA
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Malalamiko bado mengi katika uuzaji mali za SMZ
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Moto waendelea kuteketeza Milima ya Uluguru
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/L9z1SGM9aqM/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvN4F7hxEgXlnD2BhR2g*HCVLZKseNUNZQbMEpkhnNMCrmwisBF8XbglhKk8moMvQPtJfKjbRicUM3whFHUIJwYs/IMG20150210WA0079.jpg)
MOTO MKUBWA UMEZUKA KATIKA MOJA YA JENGO MTAA WA JAMUHURI JIJINI JAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rv0garHHy2M/Uwydlg7E4zI/AAAAAAAFPeY/elZXrwA5ycE/s72-c/DSC_7423.jpg)
UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rv0garHHy2M/Uwydlg7E4zI/AAAAAAAFPeY/elZXrwA5ycE/s1600/DSC_7423.jpg)
KESI ya mauaji ya kukusudia inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ob7rIgbqG88/VNnMdkDRL5I/AAAAAAACzrU/EAFCGlo0UlA/s72-c/IMG-20150210-WA0077.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ:MOTO MKUBWA UMEZUKA KATIKA MOJA YA JENGO MTAA WA JAMUHURI/MOSQUE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ob7rIgbqG88/VNnMdkDRL5I/AAAAAAACzrU/EAFCGlo0UlA/s1600/IMG-20150210-WA0077.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_CUYL33bYWo/UxiVyY6v_KI/AAAAAAAFRjY/WNcdiZuFybo/s72-c/unnamed+(84).jpg)
JUST IN: HALI YA HEWA KATIKA BUNGE LA KATIKA YATUAMA, MJADALA UNAENDELEA KWA BUSARA NA MAELEWANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-_CUYL33bYWo/UxiVyY6v_KI/AAAAAAAFRjY/WNcdiZuFybo/s1600/unnamed+(84).jpg)