Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malalamiko bado mengi katika uuzaji mali za SMZ

Mwaka 2012 Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) liliunda Kamati Teule ya kuchunguza ukodishaji wa vitega uchumi vya Serikali baada ya kujitokeza tuhuma nzito ya kukodisha majengo ya umma kwa bei ya kutupa, kinyume na Sheria ya Ununuzi na Uuzaji wa Mali za Serikali ya mwaka 2005.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UPDATES: MOTO BADO UNAENDELEA KUTEKETEZA MALI KATIKA JENGO LA RK

Moshi mkubwa ukitoka katika jengo la RK. MOTO bado ni mkubwa na unaendelea kuteketeza mali katika jengo la RK lililopo Jet Barabara ya Nyerere japo vikosi mbalimbali vya Zimamoto vipo vikiendelea kujaribu kuzuia moto huo. Magari yenye maji yanazidi kuongezwa eneo la tukio ambapo watu ni wengi wanaoshuhudia tukio hilo. Mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyeripotiwa kupoteza maisha wala kujeruhiwa katika tukio… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba: Katiba bado ina maswali mengi

>Siku moja baada ya Bunge Maalumu la Katiba kupitisha Katiba inayopendekezwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Katiba hiyo bado ina maswali mengi kuliko majibu, hasa katika muungano na mgombea binafsi.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga: Zutah bado ni mali yetu

zuttaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema beki wa kimataifa wa timu hiyo, Joseph Zutah, bado ni mali yao halali licha ya kuwa jina lake halipo katika orodha ya wachezaji iliyowasilishwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tibohora, alisema jina la Zutah halipo kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza msimu mpya wa Ligi Kuu lakini wana mipango ya muda mrefu na mchezaji huyo.

Tibohora alisema mpango wao...

 

11 years ago

Michuzi

Malalamiko katika soko la Kariakoo - VOA MItaani

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (aliyevaa tai) akiongozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soko la Ndani, Edwin Rutageruka (watatu kulia) kuelekea kuangalia usalama katika sehemu mbalimbali ya Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere (Sabasaba). Nyuma ya Waziri Chikawe upande wa kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu na Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (wapili kulia). Waziri Chikawe na Maafisa wa Jeshi la Polisi wametembelea viwanja...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

MALALAMIKO KUHUSU UKANDAMIZAJI WA DEMOKRASIA KATIKA CHAGUZI MBALIMBALI ZINAZOENDELEA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Masuala 21. Sintofahamu katika chaguzi za kuwapata wenyeviti/makamu wenyeviti wa halmashauri na Mameya/manaibu meya katika maeneo ambayo UKAWA umeshinda.2. Ukandamizaji wa demokrasia jimboni kwa Waziri Mkuu.Kumekuwa na kila dalili za uminywaji na ukandamizaji mkubwa wa demokrasia katika maeneo yote ambako vyama vinavyounda UKAWA vimeshinda idadi kubwa ya

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya umma, adai bado Serikali inadaiwa

Sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow linaendelea kuchukua sura mpya baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo kutoa ufafanuzi wa Serikali bungeni mjini Dodoma kuwa fedha hizo si za umma na kwamba bado Serikali ina mzigo wa madeni katika sakata hilo.

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini Wizara ya Fedha anautangazia Umma juu ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City). 
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze. Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya : 
http://www.utt-pid.orgAu       ...

 

10 years ago

Michuzi

UTT-PID yawatangazia umma juu ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini Wizara ya Fedha anautangazia Umma juu ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City). 
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze. 
Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya :  http://www.utt-pid.org Au  ...

 

10 years ago

Michuzi

BRN yatekeleza mengi katika mwaka mmoja

Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambao Serikali ya Tanzania imeanza kuutekeleza tangu Julai, 2013 umeleta matokeo makubwa yatakayosaidia kukuza uchumi wa nchi na huduma kwa wananchi.
Hayo yalisemwa juzi visiwani Zanzibar na Mtendaji Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekeleaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utelezaji wa BRN kwa Tanzania Bara, Omari Issa alipokuwa akitoa mada kwa watendaji waandamizi wa Serikali.

Katika semina hiyo iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani