Malalamiko bado mengi katika uuzaji mali za SMZ
Mwaka 2012 Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) liliunda Kamati Teule ya kuchunguza ukodishaji wa vitega uchumi vya Serikali baada ya kujitokeza tuhuma nzito ya kukodisha majengo ya umma kwa bei ya kutupa, kinyume na Sheria ya Ununuzi na Uuzaji wa Mali za Serikali ya mwaka 2005.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8Icmvqfo*BMtMwSo5cJ6YSnP4QQlE9Y94BCBynFVVRBMDZEaSinf61eggNZ2G0XOxOnZrQsBfnGQcXMt74ueVJWYy/MOTO3.jpg)
UPDATES: MOTO BADO UNAENDELEA KUTEKETEZA MALI KATIKA JENGO LA RK
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Warioba: Katiba bado ina maswali mengi
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Yanga: Zutah bado ni mali yetu
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema beki wa kimataifa wa timu hiyo, Joseph Zutah, bado ni mali yao halali licha ya kuwa jina lake halipo katika orodha ya wachezaji iliyowasilishwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Jonas Tibohora, alisema jina la Zutah halipo kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza msimu mpya wa Ligi Kuu lakini wana mipango ya muda mrefu na mchezaji huyo.
Tibohora alisema mpango wao...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6-RiGyaHHwA/U7L_YMl9CZI/AAAAAAAFt_g/NC7hVKL4LcM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Malalamiko katika soko la Kariakoo - VOA MItaani
![](http://3.bp.blogspot.com/-6-RiGyaHHwA/U7L_YMl9CZI/AAAAAAAFt_g/NC7hVKL4LcM/s1600/unnamed+(8).jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-3yGDfQiHOdU/Vnieg1-8isI/AAAAAAAAXgo/nws90ujHwgo/s72-c/8-chadema.jpg)
MALALAMIKO KUHUSU UKANDAMIZAJI WA DEMOKRASIA KATIKA CHAGUZI MBALIMBALI ZINAZOENDELEA
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya umma, adai bado Serikali inadaiwa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Taarifa ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze. Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya :
http://www.utt-pid.orgAu ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5Z6sYt_puM/VMoZUzMTUvI/AAAAAAAHAJQ/96SAMzXyANU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-29%2Bat%2B2.15.44%2BPM.png)
UTT-PID yawatangazia umma juu ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5Z6sYt_puM/VMoZUzMTUvI/AAAAAAAHAJQ/96SAMzXyANU/s1600/Screen%2BShot%2B2015-01-29%2Bat%2B2.15.44%2BPM.png)
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze.
Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya : http://www.utt-pid.org Au ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1WIre4fVD_o/VL-LFUeonXI/AAAAAAAG-qc/OESUgn3Rly8/s72-c/BRN-17Jan2015.jpg)
BRN yatekeleza mengi katika mwaka mmoja
![](http://4.bp.blogspot.com/-1WIre4fVD_o/VL-LFUeonXI/AAAAAAAG-qc/OESUgn3Rly8/s1600/BRN-17Jan2015.jpg)
Hayo yalisemwa juzi visiwani Zanzibar na Mtendaji Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekeleaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utelezaji wa BRN kwa Tanzania Bara, Omari Issa alipokuwa akitoa mada kwa watendaji waandamizi wa Serikali.
Katika semina hiyo iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...