BRN yatekeleza mengi katika mwaka mmoja

Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambao Serikali ya Tanzania imeanza kuutekeleza tangu Julai, 2013 umeleta matokeo makubwa yatakayosaidia kukuza uchumi wa nchi na huduma kwa wananchi.
Hayo yalisemwa juzi visiwani Zanzibar na Mtendaji Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekeleaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utelezaji wa BRN kwa Tanzania Bara, Omari Issa alipokuwa akitoa mada kwa watendaji waandamizi wa Serikali.
Katika semina hiyo iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mwaka mmoja wa UTEKELEZAJI WA BRN UNARIDHISHA?
10 years ago
Michuzi13 Jan
11 years ago
Jamtz.Com
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kampuni ya Swala yaahidi makubwa, mwaka mmoja baada ya kuingia katika soko la hisa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania) PLC, David Mestres Ridge (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu kampuni yake kutimiza mwaka mmoja tangu iingie katika soko la hisa (IPO) ambapo Swala iliingiza jumla ya hisa za kawaida 9,600,000, kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa ARCH Financial & Investment Advisory Limited, Iyen Nsemwa.
Kampuni ya uchimbaji mafuta na gesi ya Swala Energy leo imetimiza mwaka mmoja tangu kuingia katika...
10 years ago
Vijimambo
MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA

Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
11 years ago
GPL
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA
10 years ago
Michuzi
Mtendaji Mkuu BRN Bw. Omar Issa atunukiwa tuzo ya Mbia Bora wa Mwaka

11 years ago
Habarileo18 Aug
Dar yang’ara katika BRN
BAADA ya kuongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, Mkoa wa Dar es Salaam umeendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN), kwa shule zake kusimamia na kutoa mitihani ya utamilifu (mock) kwa manispaa zote tatu.