Mwaka mmoja wa UTEKELEZAJI WA BRN UNARIDHISHA?
BRN, matarajio ilikuwa ni kufikia asilimia 70 ya ufaulu kwa shule za msingi mwaka 2014, badala yake ilipata asilimia 58 tu. Kwa upande wa sekondari, kiwango kilikuwa kufikia asilimia 60 lakini wanafunzi wakapata asilimia 58.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Jan
10 years ago
Michuzi
BRN yatekeleza mengi katika mwaka mmoja

Hayo yalisemwa juzi visiwani Zanzibar na Mtendaji Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekeleaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utelezaji wa BRN kwa Tanzania Bara, Omari Issa alipokuwa akitoa mada kwa watendaji waandamizi wa Serikali.
Katika semina hiyo iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Utekelezaji BRN watengewa bil. 5/-
KIASI cha sh bilioni tano zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itakayofanywa na taasisi za sekta binafsi. Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo...
10 years ago
MichuziMSUMBIJI YAJA KUJIFUNZA UTEKELEZAJI WA BRN TANZANIA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziMKUTANO WA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA BRN WAFANYIKA LEO JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi
NCHI ZA UKANDA WA KATI WA UCHUKUZI ZASHAURIWA KUCHUKUA NIDHAMU YA UTEKELEZAJI YA BRN

Alisisitiza kuwa bila kuwa na mifumo ya ufuatiliaji, baadhi ya nchi zinaweza kumaliza kwa wakati miradi yake; huku nchi nyingine zikichelewa kukamilisha miradi iliyo upande wake. Hali...
11 years ago
Dewji Blog23 Jul
Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa BRN
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu akichangia hoja wakati wa mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) uliofanyika leo Jumatano Julai 23, 2014 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi, Bashir Mrindoko.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia...
10 years ago
MichuziWizara ya nishati na madini yatangaza utoaji ruzuku awamu ya pili, kwa wachimbaji wadogo, BRN kupima utekelezaji, tathmini