Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja
Mwezi Juni mwaka 2013, Rais Jakaya Kikwete alimteua Omari Issa kuwa mtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), inayoratibu Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi08 Jul
10 years ago
Michuzi
DART yaainisha mafanikio yaliyopatikana katika BRT, kuleta mabasi 76 Mwezi Septemba mwaka na kuanza rasmi kipindi cha mpito


Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imeisifu serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa mafanikio ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza septemba mwaka huu.
Mradi huu unatarajia kuboresha maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambalo limesongwa na...
10 years ago
Michuzi
BRN yatekeleza mengi katika mwaka mmoja

Hayo yalisemwa juzi visiwani Zanzibar na Mtendaji Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekeleaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utelezaji wa BRN kwa Tanzania Bara, Omari Issa alipokuwa akitoa mada kwa watendaji waandamizi wa Serikali.
Katika semina hiyo iliyohudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...
10 years ago
Michuzi02 Mar
HAFLA YA KIKUNDI CHA WAHITIMU WA CHUO CHA MZUMBE WALIOMALIZA MASOMO KATIKA KIPINDI KATI YA MWAKA 1992 NA MWAKA 1996 YAFANA




10 years ago
GPL
NACTE YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10
Mkurugenzi wa Idara ya Ushauri na malezi wa vyuo(NACTE).Dkt. Adolf Rutayuga (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na mafanikio ya usajili wa taasisi na vyuo vya elimu na mafunzo ya ufundi yaliyopatikana katika kipindi cha serikali ya awamu ya Nne ambapo umeongezeka kutoka 168 mwaka 2005 hadi 528 mwaka 2015 huku 206 vikiwa ni vya Serikali na 322 si vya Serikali.Wanaoshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa...
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mwaka mmoja wa UTEKELEZAJI WA BRN UNARIDHISHA?
BRN, matarajio ilikuwa ni kufikia asilimia 70 ya ufaulu kwa shule za msingi mwaka 2014, badala yake ilipata asilimia 58 tu. Kwa upande wa sekondari, kiwango kilikuwa kufikia asilimia 60 lakini wanafunzi wakapata asilimia 58.
10 years ago
Michuzi13 Jan
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania