DART yaainisha mafanikio yaliyopatikana katika BRT, kuleta mabasi 76 Mwezi Septemba mwaka na kuanza rasmi kipindi cha mpito

Muonekano wa sehemu ya awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza Septemba mwaka huu.
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imeisifu serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa mafanikio ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza septemba mwaka huu.
Mradi huu unatarajia kuboresha maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambalo limesongwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja
10 years ago
Michuzi08 Jul
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Japan katika kipindi cha mpito kiuchumi
10 years ago
Habarileo30 Jun
Mabasi ya mafunzo BRT kuanza karibuni
MRADI wa mabasi yaendayo kasi (BRT) umesema yapo mabasi mawili hadi sasa bandarini kwa ajili ya kutoa mafunzo katika barabara zilizojengwa nchini kwa ajili ya usafiri wa mabasi yaendayo kwa kasi.
10 years ago
Michuzi02 Mar
HAFLA YA KIKUNDI CHA WAHITIMU WA CHUO CHA MZUMBE WALIOMALIZA MASOMO KATIKA KIPINDI KATI YA MWAKA 1992 NA MWAKA 1996 YAFANA




10 years ago
GPL
NACTE YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10
9 years ago
Michuzi
MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (DART) KUANZA JANUARI 10, 2016.
Pia Majaliwa amewaagiza watendaji wizara ya Tamisemi ambao ni wamiliki wa mradi huo kusimamia vyema ili uanze kufanya kazi kama ilivyo pangwa kwa kuwa mabasi 120 yalishawasili jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu ameanza kwa kukagua vituo vya mradi huo kuanzia cha Feri, Jangwani,...