Mabasi ya mafunzo BRT kuanza karibuni
MRADI wa mabasi yaendayo kasi (BRT) umesema yapo mabasi mawili hadi sasa bandarini kwa ajili ya kutoa mafunzo katika barabara zilizojengwa nchini kwa ajili ya usafiri wa mabasi yaendayo kwa kasi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
10 years ago
Michuzi
DART yaainisha mafanikio yaliyopatikana katika BRT, kuleta mabasi 76 Mwezi Septemba mwaka na kuanza rasmi kipindi cha mpito


Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imeisifu serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa mafanikio ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza septemba mwaka huu.
Mradi huu unatarajia kuboresha maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambalo limesongwa na...
10 years ago
GPL
MABASI 138 YA BRT YATUA DAR
10 years ago
Habarileo21 Sep
Mabasi 138 ya mradi wa BRT yawasili Dar
TATIZO la usafiri katika Jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua baada ya mabasi 138 ya Mradi wa mabasi Yaendayo Haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza kazi Oktoba 2 mwaka huu kuwasili katika Bandari ya Dar es Salaam yakitokea China.
10 years ago
MichuziSERIKALI YAWATAKA MADEREVA WA BRT KUZINGATIA MAFUNZO
10 years ago
Michuzi
madereva wa BRT watakiwa kuzingatia mafunzo, weledi katika kutoa huduma
11 years ago
Michuzi.jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Anuani za makazi kuanza karibuni
SHIRIKA la Posta Tanzania limeanza utekelezaji wa mfumo mpya wa anuani za makazi na postikodi katika mikoa ya Arusha, Dodoma na Dar es Salaam. Mfumo huo umelenga kila mwananchi kuwa...
11 years ago
Habarileo13 Jan
Operesheni Tokomeza ya pili kuanza karibuni
WAKATI hatua zaidi zikisubiriwa kuchukuliwa kwa watendaji waliohusika na ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa Operesheni Tokomeza, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kutangaza kuanza kwa awamu ya pili ya Operesheni hiyo wakati wowote kuanzia sasa.