MABASI 138 YA BRT YATUA DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-FAZo7bFhEzM/Vf6bOlMoF3I/AAAAAAAH6RY/QW-m2SvTCLM/s750/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Sehemu ya mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yaliyowasili katika Bandari ya Dar es Salaam, kwa ajili ya kuanza kutoa huduma ya usafiri katika kipindi cha mpito kwenye miundombino ya mfumo wa mabasi yaendayo haraka (BRT)kuanzaia mwezi ujao. Mkuu wa Mkowa Dar es Salaam, Bw. Saidi Meck Sadiki akijaribu basi la Mradi wa Mbasi Yaendayo Haraka (DART), alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam kujionea...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Sep
Mabasi 138 ya mradi wa BRT yawasili Dar
TATIZO la usafiri katika Jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua baada ya mabasi 138 ya Mradi wa mabasi Yaendayo Haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza kazi Oktoba 2 mwaka huu kuwasili katika Bandari ya Dar es Salaam yakitokea China.
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJAGhtU4gAs/Vf6bOiCejDI/AAAAAAAH6Rk/QXlbDbF8TM8/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
9 years ago
TheCitizen21 Sep
BRT service set to commence as 138 buses arrive
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_uYNo1OPj3Y/VTy_ztdGGbI/AAAAAAAHTXM/JF0MphHSbEM/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
10 years ago
Habarileo30 Jun
Mabasi ya mafunzo BRT kuanza karibuni
MRADI wa mabasi yaendayo kasi (BRT) umesema yapo mabasi mawili hadi sasa bandarini kwa ajili ya kutoa mafunzo katika barabara zilizojengwa nchini kwa ajili ya usafiri wa mabasi yaendayo kwa kasi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s72-c/ss.png)
DART yaainisha mafanikio yaliyopatikana katika BRT, kuleta mabasi 76 Mwezi Septemba mwaka na kuanza rasmi kipindi cha mpito
![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s640/ss.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Ok0mIQevg/VZjratFlddI/AAAAAAAHnCY/mAJRjAIZSVw/s640/s.png)
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imeisifu serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa mafanikio ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza septemba mwaka huu.
Mradi huu unatarajia kuboresha maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambalo limesongwa na...