Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar
Mwezi mmoja baada ya kuanza kutolewa kwa mafunzo kwa madereva maalumu, awamu ya kwanza ya mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) imewasili nchini kutoka China.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJAGhtU4gAs/Vf6bOiCejDI/AAAAAAAH6Rk/QXlbDbF8TM8/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-FAZo7bFhEzM/Vf6bOlMoF3I/AAAAAAAH6RY/QW-m2SvTCLM/s750/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
MABASI 138 YA BRT YATUA DAR
9 years ago
Michuzisehemu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es salaam - UDART
Picha zote na Abraham Nyantori - MAELEZO
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Jingine jipya la Waziri mkuu Majaliwa kwenye mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam
December 19 2015 Waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alifanya ziara nyingine kutazama walikofikia wanaomalizia ujezi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es salaam, tazama hii video hapa chini nimekuwekea kila kitu.
The post Jingine jipya la Waziri mkuu Majaliwa kwenye mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Mabasi yaendayo haraka kuanza kujaribiwa leo Agosti 17 jijini Dar kwa vituo 10
Mabasi mawili yaliyoletwa nchini kwa ajili ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kama yanavyoonekana ambapo leo yanatarajia kuanza kwa safari ya majaribio katika baadhi ya vituo ikianzia Kimara mwisho hadi Posta. Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanatarajia kuonja usafiri huo ambao ni majaribio huku wahusika wakieleza kuwa watakuwa na muda muafaka wa kutoa elimu kwa watumiaji wa usafiri huo mpaka hapo watakapouzoea.
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam). Asubuhi ya leo mabasi yaendayo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s1600/download+(2).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s72-c/d1.jpg)
updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s1600/d1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gIQ3MA0PI-w/U0FqOuDIUfI/AAAAAAAFY1o/eaX0wDcKz0Y/s1600/d2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoPzw9rFbeE/U0FqTTKOpmI/AAAAAAAFY1w/GdzKMQQ_rEU/s1600/d3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cD4694Q5WXU/U0FqVj3ShpI/AAAAAAAFY14/TiHF3wesqD4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FC97P5wsUvI/U0FqXJLd0EI/AAAAAAAFY2A/cs0ygwxzszg/s1600/d5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s72-c/New%2BPicture.png)
MHANDISI RONALD LWAKATARE ATEULIWA KUWA KAIMU MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA MABASI YAENDAYO HARAKA DAR ES SALAAM (DART).
![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s1600/New%2BPicture.png)
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Siku nane pasua kichwa za mabasi yaendayo haraka