Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anuani za makazi kuanza karibuni

SHIRIKA la Posta Tanzania limeanza utekelezaji wa mfumo mpya wa anuani za makazi na postikodi katika mikoa ya Arusha, Dodoma na Dar es Salaam. Mfumo huo umelenga kila mwananchi kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali yaagiza Anuani za makazi mpaka maeneo yasiyopimwa

SERIKALI imeagiza Mpango wa utoaji wa vibao vya anuani za makazi na postikodi kuhakikisha unatoa majina kwa mitaa yote, ikiwamo maeneo yasiyopimwa pamoja na barabara zote nchini kuoneshwa wazi kwa kuandikwa.

 

11 years ago

Habarileo

Operesheni Tokomeza ya pili kuanza karibuni

WAKATI hatua zaidi zikisubiriwa kuchukuliwa kwa watendaji waliohusika na ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa Operesheni Tokomeza, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kutangaza kuanza kwa awamu ya pili ya Operesheni hiyo wakati wowote kuanzia sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Mabasi ya mafunzo BRT kuanza karibuni

MRADI wa mabasi yaendayo kasi (BRT) umesema yapo mabasi mawili hadi sasa bandarini kwa ajili ya kutoa mafunzo katika barabara zilizojengwa nchini kwa ajili ya usafiri wa mabasi yaendayo kwa kasi.

 

10 years ago

Michuzi

RELI YA KATI KUANZA KARABATIWA HIVI KARIBUNI

 Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kuchukua hatua kubwa kuanza  kufufua reli ya kati muda wowote, ujenzi wa reli hiyo utaanza ili kuongeza kasi ya maendeleo  hapa nchini leo Jiji Dar es Salaam.Waandishi wa habari walio hudhulia  katika mkutano na Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta, wakimsikiliza kwa makini. (Picha na Emmanuel Mssaka.
Na JenikisaNdile –Maelezo

SERIKALI  kwa kushirikiana na kampuni ya reli Asset holding imejizatiti kuimarisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kivuko Dar- Bagamoyo kuanza kazi karibuni

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kivuko kitakachofanya safari zake Dar es Salaam hadi Bagamoyo kinatarajiwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi wiki tatu zijazo. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

UMEME WA GESI ASILIA KUANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI

 Waziri wa nishati na madini George Simbachawene akiwa na wajumbe wa Tanesco akitembelea miradi ya umeme wa gesi alisilia iliyogunduliwa Mtwala, katika kituo lilichojengwa na Kampuni ya mafuta ya Tanzania Petrolium Development Corpolation (TPDC) hii ni sehemu iliyojengwa ni kituo kikubwa cha kutunzia gesi ya kutengenezea umeme katika kituo cha Kinyerezi jijini Dar es Salaam leo. Ikiwa mhandisi wa kituo hicho amesema kuwa kituo hicho kipo tarari kutoa gesi asilia kwa Tanesco ili iweze...

 

9 years ago

Michuzi

Mfumo wa kisasa wa kibenki kuanza kufungwa Benki ya Walimu hivi karibuni

Harakati za kuanza rasmi kwa Benki ya Walimu Tanzania (Mwalimu Commercial Bank - MCB) zinapamba moto baada ya uongozi wa benki hiyo kufikia makubaliano ya huduma ya mfumo wa kiteknolojia wa kibenki kutoka kampuni ya Intrasoft International ya nchini Luxembourg. Makubaliano hayo yaliyofikiwa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki yataiwezesha kampuni hiyo kuanza kufunga mfumo unaojulikana kama ‘Profits’ utakaotumika kwa shughuli mbalimbali za benki hiyo inayotarajiwa kuanza mwezi wa Tano...

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema kuwa wanalifanyia kazi ombi la kuongeza button ya ‘dislike’ ambayo imekuwa ikiombwa na watumiaji wengi wa mtandao huo. Mark amesema kuwa muda si mrefu wataanza kuifanyia majaribio button hiyo; “Tumewasikia na tunaifanyia kazi na tutawaletea kitu kitakachokidhi mahitaji ya jamii kubwa. Watu wamekuwa wakiulizia kuhusu button ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani