Anuani za makazi kuanza karibuni
SHIRIKA la Posta Tanzania limeanza utekelezaji wa mfumo mpya wa anuani za makazi na postikodi katika mikoa ya Arusha, Dodoma na Dar es Salaam. Mfumo huo umelenga kila mwananchi kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Feb
Serikali yaagiza Anuani za makazi mpaka maeneo yasiyopimwa
SERIKALI imeagiza Mpango wa utoaji wa vibao vya anuani za makazi na postikodi kuhakikisha unatoa majina kwa mitaa yote, ikiwamo maeneo yasiyopimwa pamoja na barabara zote nchini kuoneshwa wazi kwa kuandikwa.
11 years ago
Habarileo13 Jan
Operesheni Tokomeza ya pili kuanza karibuni
WAKATI hatua zaidi zikisubiriwa kuchukuliwa kwa watendaji waliohusika na ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa Operesheni Tokomeza, Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kutangaza kuanza kwa awamu ya pili ya Operesheni hiyo wakati wowote kuanzia sasa.
10 years ago
Habarileo30 Jun
Mabasi ya mafunzo BRT kuanza karibuni
MRADI wa mabasi yaendayo kasi (BRT) umesema yapo mabasi mawili hadi sasa bandarini kwa ajili ya kutoa mafunzo katika barabara zilizojengwa nchini kwa ajili ya usafiri wa mabasi yaendayo kwa kasi.
10 years ago
MichuziRELI YA KATI KUANZA KARABATIWA HIVI KARIBUNI
Na JenikisaNdile –MaelezoSERIKALI kwa kushirikiana na kampuni ya reli Asset holding imejizatiti kuimarisha...
11 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Kivuko Dar- Bagamoyo kuanza kazi karibuni
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kivuko kitakachofanya safari zake Dar es Salaam hadi Bagamoyo kinatarajiwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi wiki tatu zijazo. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...
10 years ago
MichuziUMEME WA GESI ASILIA KUANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI
9 years ago
MichuziMfumo wa kisasa wa kibenki kuanza kufungwa Benki ya Walimu hivi karibuni
10 years ago
Bongo517 Sep
Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg