Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg
Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema kuwa wanalifanyia kazi ombi la kuongeza button ya ‘dislike’ ambayo imekuwa ikiombwa na watumiaji wengi wa mtandao huo. Mark amesema kuwa muda si mrefu wataanza kuifanyia majaribio button hiyo; “Tumewasikia na tunaifanyia kazi na tutawaletea kitu kitakachokidhi mahitaji ya jamii kubwa. Watu wamekuwa wakiulizia kuhusu button ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Oct
Hakutakuwa na button ya dislike kwenye Facebook bali emojis kuashiria hisia mbalimbali
9 years ago
Bongo502 Dec
Mark Zuckerberg kuwapa maskini asimilia 99 ya share zake za Facebook
![1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4-300x194.jpg)
Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg jana ametangaza kuwa ataitoa asilimia 99 ya share zake katika mtandao huo wenye thamani ya dola bilioni 45 kwa maskini na mahitaji muhimu ya binadamu.
Mwenyekiti huyo mtendaji wa Facebook alitangaza hatua hiyo kwenye barua kwa binti yake aliyezaliwa wiki hii, Max.
Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan, walianzisha taasisi ya Chan Zuckerberg Initiative kwaajili ya kusaidia elimu, kutibu maradhi na kuunganisha watu. Katika maamuzi yake hayo,...
10 years ago
Bongo515 Oct
Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola
9 years ago
MichuziRELI YA KATI KUANZA KARABATIWA HIVI KARIBUNI
Na JenikisaNdile –MaelezoSERIKALI kwa kushirikiana na kampuni ya reli Asset holding imejizatiti kuimarisha...
10 years ago
MichuziUMEME WA GESI ASILIA KUANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI
9 years ago
MichuziMfumo wa kisasa wa kibenki kuanza kufungwa Benki ya Walimu hivi karibuni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h8oxDjd4OmXN4sX0XggTHb6drKugTFy*ZKPpKDfqhHQV2**BMExSMI1*2ML3gJqB*ec0OgloP23hvhq69MwjY8t/imrs.php.jpg?width=650)
MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA
11 years ago
Michuzi02 Jun
Najua wajua ya Capt. Gardiner G. Habash kuanza hivi karibuni ndani ya Michuzi TV - kaa chonjo