Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema kuwa wanalifanyia kazi ombi la kuongeza button ya ‘dislike’ ambayo imekuwa ikiombwa na watumiaji wengi wa mtandao huo. Mark amesema kuwa muda si mrefu wataanza kuifanyia majaribio button hiyo; “Tumewasikia na tunaifanyia kazi na tutawaletea kitu kitakachokidhi mahitaji ya jamii kubwa. Watu wamekuwa wakiulizia kuhusu button ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hakutakuwa na button ya dislike kwenye Facebook bali emojis kuashiria hisia mbalimbali

Mtandao wa Facebook umetangaza Alhamis hii kuwa button yake ya dislike si kama watu walivyotarajia, bali ni kundi la emojis zenye kuashiria hisia mbalimbali. Emojis hizo zitakuwepo pembeni mwa button ya like ya dole gumba zikiwasilisha hisia mbalimbali zikiwemo, love, haha, yay, wow, sad, na angry. Bahati nzuri au mbaya hakuna button ya dislike. Utaratibu […]

 

9 years ago

Bongo5

Mark Zuckerberg kuwapa maskini asimilia 99 ya share zake za Facebook

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg jana ametangaza kuwa ataitoa asilimia 99 ya share zake katika mtandao huo wenye thamani ya dola bilioni 45 kwa maskini na mahitaji muhimu ya binadamu.

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwenyekiti huyo mtendaji wa Facebook alitangaza hatua hiyo kwenye barua kwa binti yake aliyezaliwa wiki hii, Max.

Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan, walianzisha taasisi ya Chan Zuckerberg Initiative kwaajili ya kusaidia elimu, kutibu maradhi na kuunganisha watu. Katika maamuzi yake hayo,...

 

10 years ago

Bongo5

Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola

Mwanzilishi na CEO wa mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg ameamua kushiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola, kwa kuchangia dola milioni 25 sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 42. Zuckerberg mwenye utajiri unaokadiriwa kufikia dola bilioni 30, alitangaza msaada huo kupitia ukurasa wake wa Facebook. “Priscilla and I are donating $25 […]

 

9 years ago

Michuzi

RELI YA KATI KUANZA KARABATIWA HIVI KARIBUNI

 Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kuchukua hatua kubwa kuanza  kufufua reli ya kati muda wowote, ujenzi wa reli hiyo utaanza ili kuongeza kasi ya maendeleo  hapa nchini leo Jiji Dar es Salaam.Waandishi wa habari walio hudhulia  katika mkutano na Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta, wakimsikiliza kwa makini. (Picha na Emmanuel Mssaka.
Na JenikisaNdile –Maelezo

SERIKALI  kwa kushirikiana na kampuni ya reli Asset holding imejizatiti kuimarisha...

 

10 years ago

Michuzi

UMEME WA GESI ASILIA KUANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI

 Waziri wa nishati na madini George Simbachawene akiwa na wajumbe wa Tanesco akitembelea miradi ya umeme wa gesi alisilia iliyogunduliwa Mtwala, katika kituo lilichojengwa na Kampuni ya mafuta ya Tanzania Petrolium Development Corpolation (TPDC) hii ni sehemu iliyojengwa ni kituo kikubwa cha kutunzia gesi ya kutengenezea umeme katika kituo cha Kinyerezi jijini Dar es Salaam leo. Ikiwa mhandisi wa kituo hicho amesema kuwa kituo hicho kipo tarari kutoa gesi asilia kwa Tanesco ili iweze...

 

9 years ago

Michuzi

Mfumo wa kisasa wa kibenki kuanza kufungwa Benki ya Walimu hivi karibuni

Harakati za kuanza rasmi kwa Benki ya Walimu Tanzania (Mwalimu Commercial Bank - MCB) zinapamba moto baada ya uongozi wa benki hiyo kufikia makubaliano ya huduma ya mfumo wa kiteknolojia wa kibenki kutoka kampuni ya Intrasoft International ya nchini Luxembourg. Makubaliano hayo yaliyofikiwa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki yataiwezesha kampuni hiyo kuanza kufunga mfumo unaojulikana kama ‘Profits’ utakaotumika kwa shughuli mbalimbali za benki hiyo inayotarajiwa kuanza mwezi wa Tano...

 

10 years ago

GPL

MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA

Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg (kulia) akiwa na mkewe, Priscilla Chan. Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema yeye na mkewe Priscilla Chan, watachanga dola milioni 25 za kusiadia vita dhidi ya Ebola.…

 

11 years ago

Michuzi

Najua wajua ya Capt. Gardiner G. Habash kuanza hivi karibuni ndani ya Michuzi TV - kaa chonjo

Hiki ni kipindi kingine tena kitachokujia hivi punde kupitia MICHUZI TV, kama ulivyoambiwa hapo. Usikonde. Show hii na nyingine nyingi za kusisimua utazipata kirahisi sana kiasi utashangaa. Kaa chonjo, mboga ipo jikoni - karibu itaiva. We kaa mkao wa kula tu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani