Mark Zuckerberg kuwapa maskini asimilia 99 ya share zake za Facebook
Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg jana ametangaza kuwa ataitoa asilimia 99 ya share zake katika mtandao huo wenye thamani ya dola bilioni 45 kwa maskini na mahitaji muhimu ya binadamu.
Mwenyekiti huyo mtendaji wa Facebook alitangaza hatua hiyo kwenye barua kwa binti yake aliyezaliwa wiki hii, Max.
Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan, walianzisha taasisi ya Chan Zuckerberg Initiative kwaajili ya kusaidia elimu, kutibu maradhi na kuunganisha watu. Katika maamuzi yake hayo,...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo515 Oct
Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola
10 years ago
Bongo517 Sep
Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg
11 years ago
GPL
MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA
9 years ago
TheCitizen02 Dec
New dad Zuckerberg vows to give away Facebook fortune
10 years ago
Bongo513 Sep
Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika
11 years ago
Michuzi
TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER

10 years ago
GPL
EMMANUEL ADEBAYOR AWATOLEA UVIVU NDUGU ZAKE, ATUMA UJUMBE MZITO FACEBOOK AKIELEZA MAZURI ALIYOWAFANYIA
10 years ago
Vijimambo07 May
EMMANUEL ADEBAYOR AWATOLEA UVIVU NDUGU ZAKE, AWATUMA UJUMBE MZITO KUPITIA FACEBOOK JITIRIRIKIE HAPO CHINI

Adebayor ameamua kuandika ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa Facebook akikana tuhuma ambazo amekuwa akitupiwa na ndugu zake huku akiweka wazi mambo yote mazuri aliyoitendea familia yake.
Staa huyo pia aliwahi kukana tuhuma alizotupiwa na dada yake kwamba alimfukuza mama yaka mzazi kwenye nyumba yake kwa tuhuma za ushirikina...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Zuckerberg kutoa utajiri wake ‘kwa maskini’