Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mark Zuckerberg kuwapa maskini asimilia 99 ya share zake za Facebook

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg jana ametangaza kuwa ataitoa asilimia 99 ya share zake katika mtandao huo wenye thamani ya dola bilioni 45 kwa maskini na mahitaji muhimu ya binadamu.

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwenyekiti huyo mtendaji wa Facebook alitangaza hatua hiyo kwenye barua kwa binti yake aliyezaliwa wiki hii, Max.

Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan, walianzisha taasisi ya Chan Zuckerberg Initiative kwaajili ya kusaidia elimu, kutibu maradhi na kuunganisha watu. Katika maamuzi yake hayo,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola

Mwanzilishi na CEO wa mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg ameamua kushiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola, kwa kuchangia dola milioni 25 sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 42. Zuckerberg mwenye utajiri unaokadiriwa kufikia dola bilioni 30, alitangaza msaada huo kupitia ukurasa wake wa Facebook. “Priscilla and I are donating $25 […]

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema kuwa wanalifanyia kazi ombi la kuongeza button ya ‘dislike’ ambayo imekuwa ikiombwa na watumiaji wengi wa mtandao huo. Mark amesema kuwa muda si mrefu wataanza kuifanyia majaribio button hiyo; “Tumewasikia na tunaifanyia kazi na tutawaletea kitu kitakachokidhi mahitaji ya jamii kubwa. Watu wamekuwa wakiulizia kuhusu button ya […]

 

11 years ago

GPL

MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA

Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg (kulia) akiwa na mkewe, Priscilla Chan. Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema yeye na mkewe Priscilla Chan, watachanga dola milioni 25 za kusiadia vita dhidi ya Ebola.…

 

9 years ago

TheCitizen

New dad Zuckerberg vows to give away Facebook fortune

 Facebook co-founder Mark Zuckerberg announced Tuesday he is a dad and pledged to give away his fortune to make the world a "better place" for baby daughter Maxima and others.

 

10 years ago

Bongo5

Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika

Facebook kwa mara ya kwanza barani Afrika wamefungua ofisi ili kuweza kuongeza ufanisi kibiashara na kwa wateja wao barani Afrika ukianzia nchini Afrika ya Kusini. Facebook ikiwa imemteua msimamizi wa bara la Afrika, Nunu Ntshingila, ofisi hiyo ikiwa Melrose Arch, Johannesburg. Watu karibu ya milioni 7.1 wanatumia mtandao wa Facebook nchini Nigeria zaidi ya Afrika […]

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER

TAHADHARI  Hii ni taarifa kwa umma kwa ujumla kwamba mtu au kikundi cha watu wasiojulikana na wasiokuwa waaminifu wametengeneza au kuingia kwa jinai kwenye anuani yangu ya facebook na Twiter (TWITA) kuanzia tarehe 6 Juni 2014 kupelekea mimi kushindwa kufanya chochote ikiwamo kuandika au kuposti kitu chochote tokea tarehe 7 Juni 2014. Kwa taarifa hii ijulikane kuwa posti zote toka tarehe 7 June 2014 sio zangu au sihusiki nazo. Kwamba watu hao wanaojifanya ni mimi wanatumia maneno au jina...

 

10 years ago

GPL

EMMANUEL ADEBAYOR AWATOLEA UVIVU NDUGU ZAKE, ATUMA UJUMBE MZITO FACEBOOK AKIELEZA MAZURI ALIYOWAFANYIA

Ujumbe alioutuma Adebayor uliambatana na picha hii. STRAIKA wa Tottenham Hotspur, Emmanuel Adebayor amewatolea uvivu ndugu zake ambao wamekuwa wakimwandama kwamba hawapi msada wowote mbali na utajiri  mkubwa alionao. Adebayor akipozi na mama yake mzazi. Adebayor ameamua kuandika ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa Facebook akikana tuhuma ambazo amekuwa akitupiwa na ndugu zake huku akiweka wazi mambo yote mazuri aliyoitendea...

 

10 years ago

Vijimambo

EMMANUEL ADEBAYOR AWATOLEA UVIVU NDUGU ZAKE, AWATUMA UJUMBE MZITO KUPITIA FACEBOOK JITIRIRIKIE HAPO CHINI

STRAIKA wa Tottenham Hotspur, Emmanuel Adebayor amewatolea uvivu ndugu zake ambao wamekuwa wakimwandama kwamba hawapi msada wowote mbali na utajiri mkubwa alionao.

Adebayor ameamua kuandika ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa Facebook akikana tuhuma ambazo amekuwa akitupiwa na ndugu zake huku akiweka wazi mambo yote mazuri aliyoitendea familia yake.

Staa huyo pia aliwahi kukana tuhuma alizotupiwa na dada yake kwamba alimfukuza mama yaka mzazi kwenye nyumba yake kwa tuhuma za ushirikina...

 

9 years ago

BBCSwahili

Zuckerberg kutoa utajiri wake ‘kwa maskini’

Mwasisi wa Facebook Mark Zuckerberg na mkewe Priscilla Chan wamesema watatoa 99% ya hisa zao kwenye kampuni kuwasaidia binadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani