Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New dad Zuckerberg vows to give away Facebook fortune

 Facebook co-founder Mark Zuckerberg announced Tuesday he is a dad and pledged to give away his fortune to make the world a "better place" for baby daughter Maxima and others.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mark Zuckerberg kuwapa maskini asimilia 99 ya share zake za Facebook

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg jana ametangaza kuwa ataitoa asilimia 99 ya share zake katika mtandao huo wenye thamani ya dola bilioni 45 kwa maskini na mahitaji muhimu ya binadamu.

1201-mark-zukerberg-baby-facebook-4

Mwenyekiti huyo mtendaji wa Facebook alitangaza hatua hiyo kwenye barua kwa binti yake aliyezaliwa wiki hii, Max.

Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan, walianzisha taasisi ya Chan Zuckerberg Initiative kwaajili ya kusaidia elimu, kutibu maradhi na kuunganisha watu. Katika maamuzi yake hayo,...

 

9 years ago

Bongo5

Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema kuwa wanalifanyia kazi ombi la kuongeza button ya ‘dislike’ ambayo imekuwa ikiombwa na watumiaji wengi wa mtandao huo. Mark amesema kuwa muda si mrefu wataanza kuifanyia majaribio button hiyo; “Tumewasikia na tunaifanyia kazi na tutawaletea kitu kitakachokidhi mahitaji ya jamii kubwa. Watu wamekuwa wakiulizia kuhusu button ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola

Mwanzilishi na CEO wa mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg ameamua kushiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola, kwa kuchangia dola milioni 25 sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 42. Zuckerberg mwenye utajiri unaokadiriwa kufikia dola bilioni 30, alitangaza msaada huo kupitia ukurasa wake wa Facebook. “Priscilla and I are donating $25 […]

 

11 years ago

TheCitizen

Tigo, Facebook give customers new product

Tigo Tanzania has partnered with Facebook to enable all its customers get free access to Facebook in both English and Kiswahili versions through their mobile phones, the company announced yesterday.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Lesotho's trout farming fortune

Roderick MacLeod reports on the growing trout farming business in the water-rich African country of Lesotho.

 

10 years ago

TheCitizen

COVER: Mixed fortune as Cup of Nations kicks off

>Gabon seized control of Group A after the opening round of matches at the Africa Cup of Nations on Saturday, beating Burkina Faso 2-0 while hosts Equatorial Guinea drew with Congo Brazzaville.

 

10 years ago

TheCitizen

OUR KIND OF ENGLISH: Fortune ‘lurks’ for Bongo air transporters

The talk everywhere between now and October will be revolving around the big task ahead for Wabongo above the age of 18: electing the men and women who will be our new political bosses for the next five years.

 

10 years ago

GPL

MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA

Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg (kulia) akiwa na mkewe, Priscilla Chan. Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema yeye na mkewe Priscilla Chan, watachanga dola milioni 25 za kusiadia vita dhidi ya Ebola.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Zuckerberg kutoa utajiri wake ‘kwa maskini’

Mwasisi wa Facebook Mark Zuckerberg na mkewe Priscilla Chan wamesema watatoa 99% ya hisa zao kwenye kampuni kuwasaidia binadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani