Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zuckerberg kutoa utajiri wake ‘kwa maskini’

Mwasisi wa Facebook Mark Zuckerberg na mkewe Priscilla Chan wamesema watatoa 99% ya hisa zao kwenye kampuni kuwasaidia binadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PSPF YAPATA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE


unnamedBalozi wa PSPF Bw.Mrisho Mpoto alionesha tuzo iliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya kusimamia Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (ISSA) kwa Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwa ajili ya kwa  kutumiaTeknolojia ya Habari na Mawasilino katika utunzaji wa kumbukumbu za wateja na kwa kuwasiliana na wateja wake kwa kutumia simu za mikonono, kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu.

 

10 years ago

Habarileo

Dewji kugawa utajiri wake

Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji akizungumza na wananchi wa jimbo lake.MFANYABIASHARA na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed Dewji (39) anatarajia kuanzisha taasisi yake ya Mohammed Foundation mwezi ujao, itakayotoa misaada mbalimbali kwa jamii na ametenga mabilioni ya fedha.

 

10 years ago

Habarileo

Gwajima akana utajiri wake

Josephat GwajimaASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama ni utajiri, anatarajia siku moja utamshukia.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa aweka wazi utajiri wake

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema madai kwamba yeye ni tajiri hayana ukweli wowote. Amesema yeye ni mfugaji na anamiliki ng’ombe zaidi ya 800 katika Jimbo la Monduli, mkoani Arusha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Buhari atangaza utajiri wake

Rais wa Nigeria ametangaza ana $150,000 kwenye benki, hatua hiyo ya kutangaza utajiri wake ikilenga kuendeleza uwazi serikalini.

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo kutoa mrejesho kwa wateja wake

 Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, imejenga zaidi ya minara 500 kuboresha mawasiliano na kuwafikia wateja walioko maeneo ya vijijini.

 

10 years ago

GPL

AMKATA KICHWA MDOGO WAKE APATE UTAJIRI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro.
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamng’ang’ania mfanyabiashara maarufu wa Wilaya ya Mvomero, Johnson Damian Mkude (39) akituhumiwa kumkata kichwa mdogo wake wa kuzaliwa, Mathias kisha kuondoka nacho kwenda kwa mganga kwa kile kilichodaiwa ni kufanyiwa dawa ili awe bilionea, Uwazi lina mkasa wote. Marehemu Mathias aliyeuawa kwa kukatwa...

 

11 years ago

GPL

UWAZI LAENDELEA KUTOA MOTISHA KWA WASOMAJI WAKE

Msomaji wa Gazeti la Uwazi akikabidhiwa zawadi yake ya tisheti kutoka kwa mfanyakazi wa Global Publishers Ltd, Jimmy Haroub (kulia). Msomaji wa Uwazi akipatiwa  zawadi ya tisheti na Jimmy eneo ya Ubungo Dar .…

 

9 years ago

Michuzi

GAPCO kutoa zawadi kabambe kwa wateja wake wa mafuta nchini

Katika kuelekea msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka huu, GAPCO, kampuni inayoongoza kwa uuzaji wa mafuta, imeamua kuwapa wateja wake zawadi ya kufungia mwaka. Katika kufanikisha hilo, kupitia mpango wake wa ‘GAPCO Safari Loyalty programme ‘, kampuni imelenga kunufaisha na kuimarisha uhusiano wa kudumu na wateja wake kwa kuwapa mafuta ya bure.Mpango huu unaoenda sambamba na promosheni ya ‘Jaza Mafuta na Ushinde’, umedhamiria kutoa lita 4,000 za petroli au dizeli za bure kwa wateja 100 watakao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani