Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Buhari atangaza utajiri wake

Rais wa Nigeria ametangaza ana $150,000 kwenye benki, hatua hiyo ya kutangaza utajiri wake ikilenga kuendeleza uwazi serikalini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Buhari atangaza baraza lake la mawaziri

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari hatimaye ametangaza wizara na mawaziri watakaozisimamia, miezi saba baada yake kushinda uchaguzi wa urais.

 

10 years ago

Habarileo

Gwajima akana utajiri wake

Josephat GwajimaASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama ni utajiri, anatarajia siku moja utamshukia.

 

10 years ago

Habarileo

Dewji kugawa utajiri wake

Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji akizungumza na wananchi wa jimbo lake.MFANYABIASHARA na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed Dewji (39) anatarajia kuanzisha taasisi yake ya Mohammed Foundation mwezi ujao, itakayotoa misaada mbalimbali kwa jamii na ametenga mabilioni ya fedha.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa aweka wazi utajiri wake

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema madai kwamba yeye ni tajiri hayana ukweli wowote. Amesema yeye ni mfugaji na anamiliki ng’ombe zaidi ya 800 katika Jimbo la Monduli, mkoani Arusha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zuckerberg kutoa utajiri wake ‘kwa maskini’

Mwasisi wa Facebook Mark Zuckerberg na mkewe Priscilla Chan wamesema watatoa 99% ya hisa zao kwenye kampuni kuwasaidia binadamu.

 

10 years ago

GPL

AMKATA KICHWA MDOGO WAKE APATE UTAJIRI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro.
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamng’ang’ania mfanyabiashara maarufu wa Wilaya ya Mvomero, Johnson Damian Mkude (39) akituhumiwa kumkata kichwa mdogo wake wa kuzaliwa, Mathias kisha kuondoka nacho kwenda kwa mganga kwa kile kilichodaiwa ni kufanyiwa dawa ili awe bilionea, Uwazi lina mkasa wote. Marehemu Mathias aliyeuawa kwa kukatwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Nigeria ni Muhhamadu Buhari

Goodluck amekiri kushindwa katika uchaguzi huo ulioshuhudia ushindani mkali

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Buhari asifia jeshi lake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema jeshi la nchi yake liimepata mafanikio katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani