Lowassa aweka wazi utajiri wake
>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema madai kwamba yeye ni tajiri hayana ukweli wowote. Amesema yeye ni mfugaji na anamiliki ng’ombe zaidi ya 800 katika Jimbo la Monduli, mkoani Arusha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
JB Aweka Wazi Jinsi Anavyompenda Mke Wake na Kuithamini Ndoa Yake
Mwigizaji na mwogozaji wa filamu za hapa bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka ya moyoni juu ya upendo wake kwa mke wake na kuendelea kudumisha ndoa yao.
JB tofauti na mastaa wengi wa hapa bongo, amemuweka na kumwambia waziwazi mke wake wa ndoa maneno ya upendo ambayo huwafanya mashabiki wake wote kkujua na kumtambua shemeji yao au wifi yao.
JB leo hii ameweka picha hiyo mtandaoni akiwa na mke wake na kuandika maneno haya;
“Mke wangu,rafiki yangu, nampenda sanaa. Siku kama ya leo...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Kikao Kuhusu Bei ya Filamu cha Hairishwa..Nisha Aweka Wazi Masimamo Wake!!!
Kikao kilichopangwa kifanyike leo, kimehairishwa ghafla, huku tayari wadau na wsanii wakiwa tayari wapo ukumbini. Kikao hicho kilikuwa kifanyike chini ya wizara tatu ambazo ni Wizara ya Vijana Utamaduni na Michezo,Wizara ya Viwanda na Biashara na Wizara ya fedha kuhusuana na bei za filamu za hapa nchini.
Akielezea kile kilichojiri, mwigizaji Salma Jabu “Nisha”amabe alikuwa ni moja kati ya waigizaji walio hudhuria kikao hicho, alisema
“Kikao hakikufanyika, kimehairishwa.umeona wapi mtu...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Kardinali Pengo aweka wazi msimamo wa Kanisa
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Kinana aweka wazi sifa za watakaochaguliwa kuwania urais
9 years ago
Bongo511 Nov
Nahreel aweka wazi sababu halisi ya kutengana na kundi la Pah One
![pah-one](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/08/pah-one-200x111.jpeg)
Wote tunafahamu kuwa Nahreel na Aika walitokea kwenye kundi la muziki la Pah One, na baada ya kujitoa ndio wakapata wazo la kuanzisha kundi lao wenyewe ambalo ndio Navy Kenzo.
Pah One kabla ya kutengena
Baada ya kuanzisha Navy Kenzo, Nahreel na Aika ambao pia ni couple wamekuwa wakikutana na maswali mengi kuhusu kilichosababisha kuondoka Pah One, lakini hawakuwahi kuitaja sababu halisi.
Kupitia kipindi cha Mkasi, Nahreel ambaye ndiye alikuwa mgeni wa wiki hii alitumia muda huo pia kuitaja...
10 years ago
Bongo530 Sep
Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana
9 years ago
Bongo503 Oct
Bushoke aweka wazi kuwa wimbo wa ‘Mume Bwege’alipewa na mtu
10 years ago
Bongo525 Aug
Jaguar aweka wazi ukweli wa picha za ‘harusi’ yake zilizowashtua wengi