JB Aweka Wazi Jinsi Anavyompenda Mke Wake na Kuithamini Ndoa Yake
Mwigizaji na mwogozaji wa filamu za hapa bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka ya moyoni juu ya upendo wake kwa mke wake na kuendelea kudumisha ndoa yao.
JB tofauti na mastaa wengi wa hapa bongo, amemuweka na kumwambia waziwazi mke wake wa ndoa maneno ya upendo ambayo huwafanya mashabiki wake wote kkujua na kumtambua shemeji yao au wifi yao.
JB leo hii ameweka picha hiyo mtandaoni akiwa na mke wake na kuandika maneno haya;
“Mke wangu,rafiki yangu, nampenda sanaa. Siku kama ya leo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Nov
Jacqueline Wolper aeleza jinsi anavyompenda mpenzi wake
![12276915_486815101498706_1425453824_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12276915_486815101498706_1425453824_n-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper baada ya kuvalishwa pete ya uchumba na mpenzi wake miezi miwili iliyopita, jana amemwandikia ujumbe mzuri wa siku yake ya kuzaliwa kuonesha jinsi anavyompenda.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Wolper ameandika: “100% Comfort zone… Who else understands and accepts all of me? Who else can I count on for comfort and security? Who else can I call at any hour of the day or night? Who else rallies behind me in my good decisions and are there to help...
9 years ago
Bongo530 Nov
Zari akiri hadharani jinsi anavyompenda ‘mume’ wake Diamond
![zarimond-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/zarimond-1-300x194.jpg)
Mapenzi ya Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady yanaonekana kuwa imara kadri siku zinavyokwenda, kutokana na jinsi mastaa hao wanavyozidi kuudhihirishia ulimwengu jinsi wanavyopendana.
Baada ya kumpata mtoto wao wa kwanza pamoja Princess Tiffah, couple hiyo imeendelea kushare na ulimwengu kupitia mitandao ya kijamii jinsi wanavyojiandaa kuja kuungana kuwa kitu kimoja hapo baadaye.
Licha ya kupost picha nyingi zinazodhihirisha upendo wao, Zari ambaye ni mama wa watato wanne hakusita...
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa aweka wazi utajiri wake
10 years ago
Bongo525 Aug
Jaguar aweka wazi ukweli wa picha za ‘harusi’ yake zilizowashtua wengi
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Kikao Kuhusu Bei ya Filamu cha Hairishwa..Nisha Aweka Wazi Masimamo Wake!!!
Kikao kilichopangwa kifanyike leo, kimehairishwa ghafla, huku tayari wadau na wsanii wakiwa tayari wapo ukumbini. Kikao hicho kilikuwa kifanyike chini ya wizara tatu ambazo ni Wizara ya Vijana Utamaduni na Michezo,Wizara ya Viwanda na Biashara na Wizara ya fedha kuhusuana na bei za filamu za hapa nchini.
Akielezea kile kilichojiri, mwigizaji Salma Jabu “Nisha”amabe alikuwa ni moja kati ya waigizaji walio hudhuria kikao hicho, alisema
“Kikao hakikufanyika, kimehairishwa.umeona wapi mtu...
11 years ago
Bongo523 Jul
Alikiba aweka wazi chanzo cha beef kati yake na Diamond, akiri yeye ni shabiki wa nyimbo za Platnumz lakini….!
10 years ago
VijimamboBIG BOSS LADY ZARI AWEKA PICHA AKIWA NA MAMA YAKE PAMOJA NA MDOGO WAKE
9 years ago
Bongo528 Sep
Tunda Man kuelezea kwa wimbo jinsi alivyomtesa mama yake wakati wa ujauzito wake
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...