Kikao Kuhusu Bei ya Filamu cha Hairishwa..Nisha Aweka Wazi Masimamo Wake!!!
Kikao kilichopangwa kifanyike leo, kimehairishwa ghafla, huku tayari wadau na wsanii wakiwa tayari wapo ukumbini. Kikao hicho kilikuwa kifanyike chini ya wizara tatu ambazo ni Wizara ya Vijana Utamaduni na Michezo,Wizara ya Viwanda na Biashara na Wizara ya fedha kuhusuana na bei za filamu za hapa nchini.
Akielezea kile kilichojiri, mwigizaji Salma Jabu “Nisha”amabe alikuwa ni moja kati ya waigizaji walio hudhuria kikao hicho, alisema
“Kikao hakikufanyika, kimehairishwa.umeona wapi mtu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa aweka wazi utajiri wake
10 years ago
Bongo Movies05 Jan
JB Aweka Wazi Jinsi Anavyompenda Mke Wake na Kuithamini Ndoa Yake
Mwigizaji na mwogozaji wa filamu za hapa bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka ya moyoni juu ya upendo wake kwa mke wake na kuendelea kudumisha ndoa yao.
JB tofauti na mastaa wengi wa hapa bongo, amemuweka na kumwambia waziwazi mke wake wa ndoa maneno ya upendo ambayo huwafanya mashabiki wake wote kkujua na kumtambua shemeji yao au wifi yao.
JB leo hii ameweka picha hiyo mtandaoni akiwa na mke wake na kuandika maneno haya;
“Mke wangu,rafiki yangu, nampenda sanaa. Siku kama ya leo...
11 years ago
Bongo523 Jul
Alikiba aweka wazi chanzo cha beef kati yake na Diamond, akiri yeye ni shabiki wa nyimbo za Platnumz lakini….!
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/H2HnEGLrRmo/default.jpg)
9 years ago
GPL14 Sep
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R0h3EIU*h52fdjcooro3tflFtO6hNATP1nditqH7l71lgq*4VkvwOYCViMq77BpUDgsl1GkrddyhinSB-0wjoFw/CHADEMA.jpg?width=550)
KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHADEMA KESHO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--MmCO9APEmE/VFugTH5pNLI/AAAAAAADMhI/5j4oxsprK_4/s72-c/FAUSTINE%2BNDUGULILE%2CMbunge%2Bwa%2BKigamboni.jpg)
Mrejesho wa kikao cha mashauriano kuhusu Mji mpya Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/--MmCO9APEmE/VFugTH5pNLI/AAAAAAADMhI/5j4oxsprK_4/s1600/FAUSTINE%2BNDUGULILE%2CMbunge%2Bwa%2BKigamboni.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JnvgBFO6uU/VFugR8zZuWI/AAAAAAADMhA/KYR0oReW6EE/s1600/TIBAIJUKA2014.jpg)
Siku ya Jumapili tarehe 10 Agosti 2014 kilifanyika kikao cha mashauriano kuhusu Mpango Kabambe wa Uendelezaji Mji Mpya wa Kigamboni kilichojumuisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna Tibaijuka (Mb), Waheshimiwa Madiwani, Maofisa Watendaji Kata, Mbunge wa Kigamboni na wadau wengine. Mhe. Waziri alielezea kuwa lengo la kikao hiki ni pamoja na kutoa elimu kuhusu suala la hisa na kutaka kuwashawishi Madiwani na Mbunge kulikubali suala hili na pia kutoa taarifa ya...
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu
Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;
"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...