Gwajima akana utajiri wake
ASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama ni utajiri, anatarajia siku moja utamshukia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Gwajima akana kumtusi Pengo
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji Josephat Gwajima, amekana kumtusi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Gwajima alikana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilfred Dyansobela, baada ya kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili.
Akisoma maelezo hayo, Wakili wa Serikali Joseph Maugo, alidai mshitakiwa ni Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika viwanja vya Tanganyika...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Gwajima akana kortini kumtusi Kardinali Pengo
10 years ago
Habarileo24 Apr
Dewji kugawa utajiri wake
MFANYABIASHARA na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed Dewji (39) anatarajia kuanzisha taasisi yake ya Mohammed Foundation mwezi ujao, itakayotoa misaada mbalimbali kwa jamii na ametenga mabilioni ya fedha.
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Rais Buhari atangaza utajiri wake
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Lowassa aweka wazi utajiri wake
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Zuckerberg kutoa utajiri wake ‘kwa maskini’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjWUERZfkEHhW37P*IZ30uirr7PRvP9UrLqJaHAT6Wg324P6mzvSUc3yAdDhrMoT*QZQks5DWWi5u5JNhMn5WZiS/madai.jpg)
AMKATA KICHWA MDOGO WAKE APATE UTAJIRI
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Akana kumfanyia unyama yaya wake
SUBIRA SAID NA EVA MBESELE, TSJ MWANAMKE Amina Maige, mkazi wa Dar es Salaam, anayedaiwa kumfanyia ukatili msichana wake wa kazi, kwa kumng'ata meno sehemu mbalimbali na kumsababishia majeraha amekana mahakamani kutenda kitendo hicho. Amina alikana kumfanyia hivyo, Yusta Kashinde, jana katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, mbele ya Hakimu Yohana Yongolo, wakati akisomewa maelezo ya awali. Akimsomea maelezo hayo, Wakili wa Serikali, Tumaini Mfikwa, alidai Amina (42), mkazi wa...
11 years ago
Habarileo27 Jun
Akana kumng'ata 'housegirl' wake
MKAZI wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam, Amina Maige(42) anayetuhumiwa kumng’ata mfanyakazi wake wa ndani, amepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali baada ya upelelezi wa kesi hiyo kukamilika.