Akana kumfanyia unyama yaya wake
SUBIRA SAID NA EVA MBESELE, TSJ
MWANAMKE Amina Maige, mkazi wa Dar es Salaam, anayedaiwa kumfanyia ukatili msichana wake wa kazi, kwa kumng'ata meno sehemu mbalimbali na kumsababishia majeraha amekana mahakamani kutenda kitendo hicho.
Amina alikana kumfanyia hivyo, Yusta Kashinde, jana katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, mbele ya Hakimu Yohana Yongolo, wakati akisomewa maelezo ya awali.
Akimsomea maelezo hayo, Wakili wa Serikali, Tumaini Mfikwa, alidai Amina (42), mkazi wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Apr
Gwajima akana utajiri wake
ASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama ni utajiri, anatarajia siku moja utamshukia.
11 years ago
Habarileo27 Jun
Akana kumng'ata 'housegirl' wake
MKAZI wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam, Amina Maige(42) anayetuhumiwa kumng’ata mfanyakazi wake wa ndani, amepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali baada ya upelelezi wa kesi hiyo kukamilika.
10 years ago
CloudsFM25 Feb
Stara Thomas akana kufumaniwa na mpenzi wake
Aliyekuwa mwimbaji muziki wa gospel na baadaye kurudi kwenye Bongo Fleva,Stara Thomas amekana habari zilizoenea hivi karibuni kuwa amefumaniwa na mpenzi wake nyumbani kwake. Akizungumza na Soudy Brown kupitia Uheard alisema kuwa mwanamke kama yeye hawezi kufumaniwa na kwamba mpenzi wake wa sasa kinachomsumbua ni wivu wa kimapenzi bila kumtaja jina mpenzi wake huyo wa sasa.
Aidha ameongeza kuwa hayuko tayari zungumzia suala hilo kwa sasa ndiyo maana amekaa kimya tangu habari hizo zitoke...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8Ym*LrZjbTS6dcW6*mTbGcSJgfOSW0*68L0IRcAjui*jFLZ8TxjRj9IqyvkR4UWN7YPg0u3I5Wg0y-TBfAdRB1w/YoungKiller.gif?width=650)
YOUNG KILLER AKANA DEMU WAKE KUWA CHINI YA 18
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Wasanii kumfanyia ‘send-off’ JK
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQPeoWLSgakSvG23LRwsRM3b-b6LWrL0d1UgOODNz4XLsMkfzgvMNQ0suAuB5RVODvbs9H7PAJ-KSTSIYX0XuPRO/lowassa.jpg)
MASTAA KUMFANYIA PATI LOWASA
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Best Records kumfanyia makubwa Kayala
UONGOZI wa Studio ya Best Records iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, imesema itazirekodi kwa ubora wa hali ya juu nyimbo saba za mwimbaji wa injili nchini, George Kayala, ili...