Best Records kumfanyia makubwa Kayala
UONGOZI wa Studio ya Best Records iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, imesema itazirekodi kwa ubora wa hali ya juu nyimbo saba za mwimbaji wa injili nchini, George Kayala, ili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Kayala ajipanga kufanya makubwa
MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Kayala aomba sapoti Agosti 9
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, George Kayala amewaalika wadau wote wa muziki wa injili jijini Dar es Salaam kufika katika uzinduzi wa albam yake ya kwanza iItwayo ‘Siwema’ utakaofanyika...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
El-Shamma yamweka kambini Kayala
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, George Kayala, ameingia kambini kwa ajili ya kujinoa kurekodi video ya wimbo wake mpya wa ‘Siwema’ akiwa chini ya usimamizi wa El-Shamma Production ambayo...
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Kayala alamba mkataba wa albamu ya pili
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili aliyetamba na kibao cha ‘Siwema’, George Kayala, ameingia mkatabawa mwaka mmoja na Studio ya Deey Records ya jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya albamu yake ya pili ambayo bado hajajua ataiitaje.
Mwimbaji huyo ambaye ni mwandishi wa habari wa Burudani wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, alisema amesharekodi wimbo mmoja kwenye studio hiyo iliyopo Mwembechai, jijini Dar es Salaam, chini ya prodyuza Ramadhan Lwambo.
“Huduma ya...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mwaitege jukwaa moja na Kayala Agosti 9
MKALI wa muziki wa injili nchini, Bony Mwaitege, anatarajia kupanda jukwaa moja na mwimbaji mwenzake, George Kayala anayetarajia kuzindua albamu yake ya ‘Siwema’ iliyopo katika mfumo wa CD Agosti 9,...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Bahati Bukuku amtoa chozi Kayala
MUIMBAJI anayetikisa anga la nyimbo za Injili na kibao cha ‘Siwema’, George Kayala, ameelezea masikitiko yake kutokana na ajali mbaya ya gari aliyopata mkali wa muziki huo nchini, Bahati Bukuku,...
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Kayala kuibuka na kibao cha Amani Tanzania
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, George Kayala yupo katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo maalumu wa kuombea Amani ya Tanzania katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kayala alisema kwamba, kampuni ya Freshas inayojihusisha na usambazaji wa filamu za Bongo ndiyo inasimamia zoezi zima la kurekodi wimbo huo.
“Ninakamilisha wimbo wangu wa kuombea amani ambao nimeupa jina la ‘Tuilinde Amani Yetu Tanzania,’’ alisema Kayala.
Naye Mkurugenzi wa...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Wasanii kumfanyia ‘send-off’ JK
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...