Kayala ajipanga kufanya makubwa
MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Best Records kumfanyia makubwa Kayala
UONGOZI wa Studio ya Best Records iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, imesema itazirekodi kwa ubora wa hali ya juu nyimbo saba za mwimbaji wa injili nchini, George Kayala, ili...
9 years ago
Bongo512 Oct
Ruby ajipanga kufanya kolabo na Christian Bella
9 years ago
Bongo512 Nov
Young Dee ajipanga kwenda Nigeria kufanya ngoma na Patoranking
Rapper Young Dee amesema yupo kwenye mpango wa kusafiri kuelekea nchini Nigeria kwa ajili ya project yake na Patoranking.
Young Dee amesema bado kuna mambo anayaweka sawa na yakikamilika atasafiri.
“Bado kusafiri tu, sema sasa hivi kuna mambo nayaweka sawa pia kuna project nyingine zinakuja lakini kikubwa zaidi kuna mambo makubwa yanakuja,” Young Dee ameiambia Bongo5.
Wazo la kufanya kazi na Patoranking lilikuja baada ya watu wengi kudai kuwa Young Dee anafanana na msanii huyo.
Jiunge na...
11 years ago
Uhuru NewspaperNHC yaahidi kufanya makubwa zaidi
NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limedhamiria kuyabadilisha maeneo ya jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini baada ya kuzindua ujenzi wa miji midogo.
Limesema miradi hiyo itakapokamilika itabadilisha mandhari ya maeneo mbalimbali nchini na kuyafanya kuwa ya kisasa.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye jukwaa la uwekezaji lililoshirikisha baadhi ya wakuu wa mikoa na wadau mbaliambali.
Mchechu alisema wataanza na ujenzi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Miyeyusho: Natamani kufanya makubwa 2014
BONDIA Francis Miyeyusho wa Tanzania, alitangaza nia yake ya kuzichapa na Mkenya David Charanga. Ni katika pambano ambalo lilikuwa chini ya uratibu wake kwa lengo la kutimiza programu alizojiwekea kwa...
11 years ago
GPLMbelgiji aahidi kufanya makubwa Yanga
11 years ago
Habarileo02 May
Darasa la 7 kufanya tena Matokeo Makubwa Sasa
WANAFUNZI wa Darasa la Saba waliofanya mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) wakiwa darasa la sita, watafanya mtihani mwingine wa aina hiyo kabla ya kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu kwa lengo la kuongeza ufaulu.
10 years ago
GPLNYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII
11 years ago
MichuziMusley Al Rawahi apania kufanya mambo makubwa Simba