Miyeyusho: Natamani kufanya makubwa 2014
BONDIA Francis Miyeyusho wa Tanzania, alitangaza nia yake ya kuzichapa na Mkenya David Charanga. Ni katika pambano ambalo lilikuwa chini ya uratibu wake kwa lengo la kutimiza programu alizojiwekea kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jun
ZIFF 2014 ilivyokuwa; Terry Pheto: Natamani kufanya kazi na wa bongo
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Kayala ajipanga kufanya makubwa
MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5TUGCs8p7*GGoraBuR3oBW-dVyKA6rAjbT1YPeVyR2WHwcmxNK0weu1wCaYMQUR15X2Hc5M8Uhl2-uE5emi0X3/mbelijiji.jpg?width=650)
Mbelgiji aahidi kufanya makubwa Yanga
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-gz92q-cRlno/U6rxDNIWA6I/AAAAAAAABQs/TWpHLfyYGNQ/s72-c/tibaijuka+4.jpg)
NHC yaahidi kufanya makubwa zaidi
NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limedhamiria kuyabadilisha maeneo ya jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini baada ya kuzindua ujenzi wa miji midogo.
Limesema miradi hiyo itakapokamilika itabadilisha mandhari ya maeneo mbalimbali nchini na kuyafanya kuwa ya kisasa.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye jukwaa la uwekezaji lililoshirikisha baadhi ya wakuu wa mikoa na wadau mbaliambali.
Mchechu alisema wataanza na ujenzi...
11 years ago
Habarileo02 May
Darasa la 7 kufanya tena Matokeo Makubwa Sasa
WANAFUNZI wa Darasa la Saba waliofanya mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) wakiwa darasa la sita, watafanya mtihani mwingine wa aina hiyo kabla ya kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu kwa lengo la kuongeza ufaulu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Rndz8mwXJFdrBJbEf9emh52dsl4EBJRyaLLckwPFpW2WXAIpVYOaGsKPMOeKTaLY2hSu5MajTe8PUeYtBU6Fas/1.jpg?width=650)
NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-esPD69xCSkY/U7WbDbjbwpI/AAAAAAAFuuY/JixsCtjOCrU/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Musley Al Rawahi apania kufanya mambo makubwa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-esPD69xCSkY/U7WbDbjbwpI/AAAAAAAFuuY/JixsCtjOCrU/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
Michuzi19 Mar
TASWA KUFANYA MABADILIKO MAKUBWA TUZO ZA WANAMICHEZO BORA TANZANIA
KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) iliyokutana jijini Dar es Salaam wiki iliyopita ilikubaliana kufanya mabadiliko makubwa katika Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa kila mwaka na TASWA. Kikao kilijiridhisha kuwa tuzo za TASWA zina heshima kubwa na wanamichezo hapa nchini wanazithamini na kuzitegemea kuliko tuzo za aina nyingine zozote. Lakini kikao kilikubaliana kuwa pamoja na hayo bado kuna changamoto mbalimbali kuhusiana...
9 years ago
StarTV07 Oct
ACT Wazalendo kusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii.
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kinakusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii nchini ili kuongeza fursa na mapato yanayotokana na sekta hiyo sambamba na kuwashughulikia kikamilifu wale wote wanaohujumu maliasili za Taifa.
Mgombea urais kupitia chama hicho Anna Mgwira amewaambia wakazi wa Arusha katika Mkutano wa kampeni za chama hicho kwamba mchango wa sekta ya utalii katika taifa kwa sasa ni mdogo kulingana na rasilimali zilizopo Tanzania.
Akiwahutubia wananchi katika viwanja...