ACT Wazalendo kusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii.
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kinakusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii nchini ili kuongeza fursa na mapato yanayotokana na sekta hiyo sambamba na kuwashughulikia kikamilifu wale wote wanaohujumu maliasili za Taifa.
Mgombea urais kupitia chama hicho Anna Mgwira amewaambia wakazi wa Arusha katika Mkutano wa kampeni za chama hicho kwamba mchango wa sekta ya utalii katika taifa kwa sasa ni mdogo kulingana na rasilimali zilizopo Tanzania.
Akiwahutubia wananchi katika viwanja...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
9 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AHAIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto Mwaibale
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
9 years ago
Mwananchi18 Oct
CUF kuifanyia mageuzi sekta ya utalii,bandari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2Rndz8mwXJFdrBJbEf9emh52dsl4EBJRyaLLckwPFpW2WXAIpVYOaGsKPMOeKTaLY2hSu5MajTe8PUeYtBU6Fas/1.jpg?width=650)
NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Je! Kuna mategemeo chanya katika sekta ya utalii katika serikali ya awamu ya tano?
Dr. John Pombe Magufuli, mshindi wa kiti cha Urais Tanzania.
Ni siku chache tu zimepita tangu Jaji Mstaafu Damian Lubuva, mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mgombea wa kiti cha Urais Dr.John Pombe Magufuli kuwa ndiye mshindi aliyeongoza kwa kura za asilimia 58.46% ya jumla za kura halali katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2015.
Andrea Guzzoni Meneja mkazi wa JovagoTanzania, ametoa pongezi katika kipindi kizima cha shughuli za uchaguzi ambapo Tume ya Uchaguzi na...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII, MAREKANI NA UJERUMANI WAIPA TANZANIA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS LEO
![](https://2.bp.blogspot.com/-6dmZbxSn4jE/VMA0542XlFI/AAAAAAAAse4/EknWe-__BIA/s1600/1.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-kzBLIkv22Xg/VMA04mS_WdI/AAAAAAAAsew/Hfe5v9TrobU/s1600/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-ZrejrydhGgw/VMA07Io56RI/AAAAAAAAsfA/HWCNFzTYRl8/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s72-c/unnamed.jpg)
Kuweka Umeme Afrika: Mkutano kufanyika Tanzania kujadiliana kuhusu mageuzi katika sekta ya kawi Nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s640/unnamed.jpg)
Mkutano wa kila mwaka wa Kuwezeka umeme Afrika: Kongamano la Uwekezaji la Tanzania litafanyika Hyatt Regency Dar es Saalam, Hoteli ya Kilimanjaro kuanzia 3-4 Desemba 2015
Mkutano ule utalenga siku za usoni za sekta ya kawi ya Tanzania kufuatia uchaguzi wa hivi majuzi, kutambua nafasi za uwekezaji na kubuni maushurikiano muhimu kati ya wahusika kutoka sekta ya kibinafsi na ya umma. Dhibitisho za hivi karibuni za January Makamba, Mbunge wa Bumbuli, Tanzania, waakilishi kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u0GWnmM0TzE/Vfmq81TsqXI/AAAAAAAH5Ys/8uEEdQ1PAJQ/s72-c/us.png)
Wafanyakazi wa Kujitolea wa Kimarekani kufanya kazi katika sekta ya elimu katika wilaya 31 nchini Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-u0GWnmM0TzE/Vfmq81TsqXI/AAAAAAAH5Ys/8uEEdQ1PAJQ/s1600/us.png)