CUF kuifanyia mageuzi sekta ya utalii,bandari
Mgombea urais wa Zanzibar kwa (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesema ataifanyia mageuzi sekta ya utalii na bandari ambazo zina mapato makubwa ili kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV07 Oct
ACT Wazalendo kusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii.
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kinakusudia kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya utalii nchini ili kuongeza fursa na mapato yanayotokana na sekta hiyo sambamba na kuwashughulikia kikamilifu wale wote wanaohujumu maliasili za Taifa.
Mgombea urais kupitia chama hicho Anna Mgwira amewaambia wakazi wa Arusha katika Mkutano wa kampeni za chama hicho kwamba mchango wa sekta ya utalii katika taifa kwa sasa ni mdogo kulingana na rasilimali zilizopo Tanzania.
Akiwahutubia wananchi katika viwanja...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
9 years ago
MichuziTICTS yaipongeza TPA kwa mageuzi yanayofanyika bandari
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Jun
CUF wafanya mageuzi makubwa
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) umeridhia uwepo wa ngazi ya uongozi wa jimbo, ili ufanane na mfumo wa vyama vingine vya upinzani nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gi0ueEpdWFY/U2CaiUb-5jI/AAAAAAAFeF8/IfpkzZIRORA/s72-c/unnamed+(10).jpg)
NCHI ZIMILIKI MAGEUZI YA SEKTA ZA USALAMA - TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gi0ueEpdWFY/U2CaiUb-5jI/AAAAAAAFeF8/IfpkzZIRORA/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Ridhiwani: Nimejipanga kuleta mageuzi sekta ya elimu Chalinze
KWA mujibu wa kamusi ya Kiswahilli, neno Ahadi lina maana ya sharti analojipa mtu kulitimiza; agano, mapatano. Kutokana na ukweli huo, ndio maana kuna msemo usemao ‘Ahadi ni deni’. Ili...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mgombea CUF aahidi kusimamia bandari