TICTS yaipongeza TPA kwa mageuzi yanayofanyika bandari
Uongozi wa kitengo cha kimataifa cha makasha (TICTS) umepongeza juhudi zinazoendelezwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) za kuimarisha bandari ya Dar es Salaam. Akiongea wakati wa kukaribisha kuwasili kwa meli kubwa kabisa kuwahi kufika katika bandari hiyo, Afisa Mkuu Mtendaji (CEO) wa TICTS, Bw. Bw. Paul Wallace aliuita ujio huo kuwa wa muhimu sana kwa maendeleo ya bandari hapa nchini. “Tunaona maendeleo makubwa ya kiutendaji katika bandari yanayopelekea mashirika makubwa kama Maersk...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziPIC YAIPONGEZA TPA KWA KUTEKELEZA KWA UFANISI MRADI WA KUCHIMBA NA KUONGEZA KINA LANGO LA KUINGILIA NA KUGEUZIA MELI CHA BANDARI YA TANGA
Sehemu ya wajumbe wa kamati hiyo wakiwa kwenye ukumbi wa mikutano
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)...
10 years ago
MichuziBILIONEA DANGOTE ALIDHIA UJENZI WA BANDARI YAKE MTWARA KWA KUSHIRIKIANA NA TPA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Hawa Ghasia akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Dangote, Alhaji Aliko Dangote, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara leo kwa ajili ya kuangalia...
10 years ago
VijimamboBILIONEA DANGOTE ALIRIDHIA UJENZI WA BANDARI YAKE MTWARA KWA KUSHIRIKIANA NA TPA
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
EPZA, TPA kuendeleza bandari Mtwara
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimefikia makubaliano ya uendelezaji wa hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo...
10 years ago
Habarileo17 Apr
TPA yaonya ujenzi wa bandari ya Mwambani
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeonya kwamba ni kinyume cha Sheria Namba 17 ya Bandari ya Mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi, kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila ya kibali chake.
9 years ago
Bongo507 Dec
Magufuli aivunja bodi ya bandari, TPA
Rais Dkt John Magufuli ameivunja bodi ya mamlaka ya bandari, TPA.
Uamuzi huo umetangazwa Jumatatu hii na waziri mkuu, Kassim Majaliwa.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Majaliwa amesema Dkt Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya bandari, Profesa Joseph Msambichaka na Mkurugenzi wa bandari, Awadh Massawe.
Pamoja na hivyo rais pia ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa wizara ya uchukuzi, Dkt Shaban Mwinjaka atakayepangiwa kazi nyingine.
Hatua hiyo imekuja baada...
10 years ago
MichuziUJUMBE WA TPA WATEMBELEA MAMLAKA YA BANDARI GHANA
Kwa sasa TPA inatekeleza miradi kadhaa ya kuongeza ufanisi kwa kutumia ICT, kuboresha Ulinzi kwa kufunga Mitambo ya kielektroniki na...
9 years ago
Mwananchi18 Oct
CUF kuifanyia mageuzi sekta ya utalii,bandari
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
TPA yahamasisha nchi jirani kutumia Bandari Dar
MAMLAKA ya Bandari Tanzania (TPA) imezihamasisha nchi jirani kuendelea kutumia Bandari ya Dar es Salaam kwani sasa huduma zake zinaimarika kutokana na maboresho makubwa yanayoendelea kufanywa. Kaimu Meneja Mawasiliano wa...