EPZA, TPA kuendeleza bandari Mtwara
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimefikia makubaliano ya uendelezaji wa hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziEPZA yafikia makubaliano na kampuni kuendeleza eneo huru bandari Mtwara
10 years ago
VijimamboBILIONEA DANGOTE ALIRIDHIA UJENZI WA BANDARI YAKE MTWARA KWA KUSHIRIKIANA NA TPA
10 years ago
MichuziBILIONEA DANGOTE ALIDHIA UJENZI WA BANDARI YAKE MTWARA KWA KUSHIRIKIANA NA TPA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Hawa Ghasia akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Dangote, Alhaji Aliko Dangote, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara leo kwa ajili ya kuangalia...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
EPZA, COSTECH kuendeleza Tehama
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuanzisha na kuendeleza eneo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Eneo...
11 years ago
MichuziEPZA, COSTECH ZAKUBALIANA KUENDELEZA TEHAMA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA), Dkt. Adelhelm Meru (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt. Hassan Mshinda wakitia saini makubaliano ya uanzishaji na uendelezaji wa eneo maalumu la hekari 238 Bagamoyo kwa ajili ya kuendeleza teknolojia ya habari na mawasiliano nchini. Waliosimama ni Afisa wa EPZA, Bi. Sarah Patric na Mwanasheria wa Tume hiyo, Bi. Zainab Bakari (kulia). Tukio hilo lilifanyika jijini Dar es...
10 years ago
Habarileo17 Apr
TPA yaonya ujenzi wa bandari ya Mwambani
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeonya kwamba ni kinyume cha Sheria Namba 17 ya Bandari ya Mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi, kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila ya kibali chake.
9 years ago
Bongo507 Dec
Magufuli aivunja bodi ya bandari, TPA
Rais Dkt John Magufuli ameivunja bodi ya mamlaka ya bandari, TPA.
Uamuzi huo umetangazwa Jumatatu hii na waziri mkuu, Kassim Majaliwa.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Majaliwa amesema Dkt Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya bandari, Profesa Joseph Msambichaka na Mkurugenzi wa bandari, Awadh Massawe.
Pamoja na hivyo rais pia ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa wizara ya uchukuzi, Dkt Shaban Mwinjaka atakayepangiwa kazi nyingine.
Hatua hiyo imekuja baada...
10 years ago
MichuziUJUMBE WA TPA WATEMBELEA MAMLAKA YA BANDARI GHANA
Kwa sasa TPA inatekeleza miradi kadhaa ya kuongeza ufanisi kwa kutumia ICT, kuboresha Ulinzi kwa kufunga Mitambo ya kielektroniki na...
10 years ago
MichuziUjumbe TPA watembelea Mamlaka ya Bandari ya Singapore (PSA)