EPZA, COSTECH ZAKUBALIANA KUENDELEZA TEHAMA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA), Dkt. Adelhelm Meru (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt. Hassan Mshinda wakitia saini makubaliano ya uanzishaji na uendelezaji wa eneo maalumu la hekari 238 Bagamoyo kwa ajili ya kuendeleza teknolojia ya habari na mawasiliano nchini. Waliosimama ni Afisa wa EPZA, Bi. Sarah Patric na Mwanasheria wa Tume hiyo, Bi. Zainab Bakari (kulia). Tukio hilo lilifanyika jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
EPZA, COSTECH kuendeleza Tehama
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuanzisha na kuendeleza eneo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Eneo...
11 years ago
TheCitizen28 May
EPZA inks Sh50bn deal with Costech
9 years ago
StarTV25 Sep
Tanzania na Marekani zakubaliana kuendeleza ushirikiano wake
Rais wa Tanzania DK Jakaya Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika, bali utaendelea kuboreshwa zaidi hata baada ya Serikali mpya kuingia madarakani.
Aidha ameiomba Marekani kuiunga mkono Serikali ijayo pamoja na maendeleo ya Tanzania na watu wake, kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, kwa kuchangia uchumi wa nchi kupanda kutoka dola bilioni 14.4 hadi kufikia dola bilioni 50.
Rais Kikwete ameyasema hayo...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
EPZA, TPA kuendeleza bandari Mtwara
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) zimefikia makubaliano ya uendelezaji wa hekta 10 za eneo huru la bandari ya Mtwara. Makubaliano hayo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ycvQ9Nlbv4M/U3hmNa-paZI/AAAAAAAFjZA/V_g9AiShW-Y/s72-c/unnamed+(24).jpg)
EPZA yafikia makubaliano na kampuni kuendeleza eneo huru bandari Mtwara
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Uhamiaji:UK na Ufaransa zakubaliana
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Pande hasimu zakubaliana Libya
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
EU, Uturuki zakubaliana suala wakimbizi
11 years ago
MichuziTANZANIA NA SWEDEN ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO