Tanzania na Marekani zakubaliana kuendeleza ushirikiano wake
Rais wa Tanzania DK Jakaya Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika, bali utaendelea kuboreshwa zaidi hata baada ya Serikali mpya kuingia madarakani.
Aidha ameiomba Marekani kuiunga mkono Serikali ijayo pamoja na maendeleo ya Tanzania na watu wake, kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, kwa kuchangia uchumi wa nchi kupanda kutoka dola bilioni 14.4 hadi kufikia dola bilioni 50.
Rais Kikwete ameyasema hayo...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTANZANIA NA SWEDEN ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO
11 years ago
MichuziTanzania na Misri zakubaliana kuimarisha ushirikiano
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tr0fOqaC6Bg/U4wmcEH348I/AAAAAAAFnD0/di75jfbXFfo/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Tanzania,Uturuki Kuendeleza Ushirikiano
![](http://1.bp.blogspot.com/-tr0fOqaC6Bg/U4wmcEH348I/AAAAAAAFnD0/di75jfbXFfo/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
MichuziEPZA, COSTECH ZAKUBALIANA KUENDELEZA TEHAMA
10 years ago
MichuziTanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji
10 years ago
Vijimambo13 Mar
Tanzania na China kuendeleza ushirikiano kwenye Sekta ya Uwekezaji na Viwanda
5 years ago
MichuziNCHI ZA NORDIC ZAAHIDI KUENDELEZA, KUIMARISHA UHUSIANO WAKE NA TANZANIA
Akiongea wakati wa maadhimisho ya wiki ya Nordic jijini Dar es Salaam, ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Kbk7iVTeoNY/U4665XQ7_sI/AAAAAAAFndU/eNy_LuFHlZ4/s72-c/unnamed+(85).jpg)
TANZANIA YAJIVUNIA USHIRIKIANO WAKE NA UNICEF
Na Mwandishi Maalum, New York
Ushirikiano wa kimaendeleo baina ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mfuko wa Umoja wa Mataifa unaohudumiwa Watoto ( UNICEF) umefanikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali inayolenga katika utoaji huduma endelevu kwa watoto .
Kauli hiyo imetolewa siku ya jumanne na Bibi. Anna Maembe, Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto , anayeiwakilisha Tanzania katika mkutano wa Mwaka wa Bodi tendaji ya UNICEF unaofanyika hapa ...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Serikali kuendeleza ushirikiano na NHIF
Serikali imesema itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) hususan za kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko huo pamoja na Mfuko wa Afya wa Jamii (CHF) ili wanufaike na huduma za matibabu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania