Tanzania,Uturuki Kuendeleza Ushirikiano
![](http://1.bp.blogspot.com/-tr0fOqaC6Bg/U4wmcEH348I/AAAAAAAFnD0/di75jfbXFfo/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Ahmet Davitoglu, (mwenye miwani) akikata utepe kwenye hafla ya Uzinduzi wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha MWANA, kilichopo enero Vingunguti jijini, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kituo hicho kimejengwa na Shirika la Misaada ya Kimataifa, Turkish International Cooperation Development Agency (TIKA) na kimegharimu Dola za Marekani, 165,000. Wengine katika picha ni Balozi wa Uturuki nchini, Ali Davitoglu, wakiwa wameandamana na maofisa wengine wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Sep
Tanzania na Marekani zakubaliana kuendeleza ushirikiano wake
Rais wa Tanzania DK Jakaya Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika, bali utaendelea kuboreshwa zaidi hata baada ya Serikali mpya kuingia madarakani.
Aidha ameiomba Marekani kuiunga mkono Serikali ijayo pamoja na maendeleo ya Tanzania na watu wake, kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, kwa kuchangia uchumi wa nchi kupanda kutoka dola bilioni 14.4 hadi kufikia dola bilioni 50.
Rais Kikwete ameyasema hayo...
10 years ago
MichuziTanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji
10 years ago
Vijimambo13 Mar
Tanzania na China kuendeleza ushirikiano kwenye Sekta ya Uwekezaji na Viwanda
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Serikali kuendeleza ushirikiano na NHIF
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Serikali kuendeleza ushirikiano na shule binafsi
SERIKALI imeahidi kuendelea kufanya kazi kwa karibu na wamiliki wa shule binafsi wanaoonyesha nia ya wazi kuisaidia kutoa elimu bora kwa Watanzania. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam mwishoni...
5 years ago
MichuziBalozi wa Denmark ahidi kuendeleza ushirikiano na THBUB
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet akizungumza na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye ofisi za THBUB jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet (kulia) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika Maktaba ya THBUB alipokuwa akioneshwa mazingira ya ofisi hizo ambazo zilijengwa kwa msaada wa Denmark.
Afisa wa THBUB, Omary Limu...
9 years ago
Michuzi14 Dec
Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali
![cb3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb3.jpg)
![cb2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb2.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Uingereza kuendeleza misaada Tanzania
10 years ago
Habarileo26 Oct
Tanzania na China kuendeleza mawazo ya Nyerere, Mao
TANZANIA na China zimeahidi kuendeleza mahusiano baina yao na kuenzi mawazo ya waasisi wa nchi hizo Mwalimu Julius Nyerere na Mwenyekiti Mao Tse Tung.