Serikali kuendeleza ushirikiano na NHIF
Serikali imesema itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) hususan za kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko huo pamoja na Mfuko wa Afya wa Jamii (CHF) ili wanufaike na huduma za matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Serikali kuendeleza ushirikiano na shule binafsi
SERIKALI imeahidi kuendelea kufanya kazi kwa karibu na wamiliki wa shule binafsi wanaoonyesha nia ya wazi kuisaidia kutoa elimu bora kwa Watanzania. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam mwishoni...
9 years ago
Michuzi14 Dec
Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali
11 years ago
MichuziTanzania,Uturuki Kuendeleza Ushirikiano
9 years ago
StarTV25 Sep
Tanzania na Marekani zakubaliana kuendeleza ushirikiano wake
Rais wa Tanzania DK Jakaya Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika, bali utaendelea kuboreshwa zaidi hata baada ya Serikali mpya kuingia madarakani.
Aidha ameiomba Marekani kuiunga mkono Serikali ijayo pamoja na maendeleo ya Tanzania na watu wake, kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake, kwa kuchangia uchumi wa nchi kupanda kutoka dola bilioni 14.4 hadi kufikia dola bilioni 50.
Rais Kikwete ameyasema hayo...
5 years ago
MichuziBalozi wa Denmark ahidi kuendeleza ushirikiano na THBUB
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet akizungumza na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye ofisi za THBUB jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet (kulia) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika Maktaba ya THBUB alipokuwa akioneshwa mazingira ya ofisi hizo ambazo zilijengwa kwa msaada wa Denmark.
Afisa wa THBUB, Omary Limu...
10 years ago
MichuziTanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji
10 years ago
Vijimambo13 Mar
Tanzania na China kuendeleza ushirikiano kwenye Sekta ya Uwekezaji na Viwanda
9 years ago
MichuziPPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO
Kipa wa timu ya soka ya Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, akichupa kuzuia mpira wa penati bila mafanikio wakati timu hiyo ilipomenyana na ile ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, wakati wa bonanza la pamoja la taasisi hizo mbili lililoandaliwa na PPF na kufanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam leo Septemba 5, 2015. Katika bonanza hilo ambalo mgeni rasmi alikuwa Mkurugenzi wa Uwekezaji wa PPF, Steven Alfred, akimwakilisha Mkurugenzi...
9 years ago
GPLPPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO