PPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3qj0csdRV38/Ver7PwDjtRI/AAAAAAAAY1A/9z0VOL3sqoc/s640/mazoezi4%2Bblog.jpg)
 Mazoezi ya viungo kwa wote.  Mkurugenzi wa Uwekezaji, Mfuko wa Pensheni wa PPF, Steven Alfred, (mbele kushoto), akimwakilisha mkurugenzi mkuu wa mfuko huo alipoungana na wafanyakazi wa PPF na wale wa NHIF kwenye mazoezi ya viungo.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-icTKb9KunkQ/Ver6_BoqJiI/AAAAAAAAYzs/gi-9Yy30j4M/s72-c/GOO%2BBLOG.jpg)
PPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-icTKb9KunkQ/Ver6_BoqJiI/AAAAAAAAYzs/gi-9Yy30j4M/s640/GOO%2BBLOG.jpg)
11 years ago
GPLMKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH WILLIAM ERIO ATEMBELEA BANDA LA PPF KUJIONEA UTENDAJI KAZI WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiteta jambo na wafanyakazi wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake. Kulia ni Meneja Uhusiano na Masoko wa PPF, Bi Lulu Mengele na Katikati ni Mbaruku.
Mmoja wa Wateja Wa Mfuko wa Pensheni wa PPF akifurahia huduma aliyopewa na Afisa Huduma Kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Jackline Jackson wakati mteja...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZQgbiBu8nzo/VaUJn82Vb-I/AAAAAAAAWBI/H0eZbavq-nU/s72-c/B1.jpg)
PPF YAFUTIRISHA WAFANYAKAZI WAKE KUONYESHA MSHIKAMANO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZQgbiBu8nzo/VaUJn82Vb-I/AAAAAAAAWBI/H0eZbavq-nU/s640/B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LzhKkfAB9zU/VaUJn1YJo5I/AAAAAAAAWBM/sxNlgZp-pJM/s640/b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAvyu9a31LQ/VaUJroZRjbI/AAAAAAAAWBc/gUwdx0KLegU/s640/b6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
PPF yaandalia futari wafanyakazi wake, ni utaratibu wa kila mwaka kuonyesha mshikamano
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZQgbiBu8nzo/VaUJn82Vb-I/AAAAAAAAWBI/H0eZbavq-nU/s640/B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LzhKkfAB9zU/VaUJn1YJo5I/AAAAAAAAWBM/sxNlgZp-pJM/s640/b2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p88x6_xH9e0/VaUJn8C7aAI/AAAAAAAAWBE/D3ERJ0FINl0/s640/b5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAvyu9a31LQ/VaUJroZRjbI/AAAAAAAAWBc/gUwdx0KLegU/s640/b6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eb5m5MJQzJQ/VaUJr57tEPI/AAAAAAAAWBg/E4V7sAOKoB4/s640/b7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pNvgjcCgAAk/U1Jm4wt5P5I/AAAAAAAFb0A/Bdqr0LnaFk0/s1600/b1.jpg)
BONANZA LA MICHEZO LA PPF LAFANA SANA
Mkufunzi wa mazoezi ya viungo, Taifa Liwewa (Kushoto), akiwaongoza wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakati wa mazoezi ya viungo, kwenye bonanza la michezo lililoandaliwa na Mfuko huo na kufanyika viwanja vya Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 19, 2014. Mgeni rasmi kqwenye tamasha hilo lililoshirikisha michezo mbalimbali ikiwemo, kuvuta kamba na soka, alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William...
![](http://2.bp.blogspot.com/-EY89-_HCRks/U1Jm70MGSQI/AAAAAAAFb0I/WxN0jeuZMzs/s1600/b2.jpg)
11 years ago
MichuziBONANZA LA CHUO KIKUU DODOMA LAFAFANA SANA,PPF YATOA UDHAMINI
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM,Prof.Idrissa Kitila mwishoni mwa wiki alifunga BONANZA la michezo mbalimbali iliyofanyika chuoni hapo kwa muda wa wiki moja.Michezo hiyo ilifadhiliwa na mfuko wa mafao ya Jamii PPF ambapo ilikutanisha timu mbali mbali katika mpira wa pete na mguu.
Timu zilizoshiriki zilikuwa nane,timu kutoka School saba na timu kutoka Utawala moja.Pamoja na mpira wa Pete na Miguu kulikuwepo mashindano ya kuvuta kamba na kukimbiza kuku,Katika siku ya kufunga...
Timu zilizoshiriki zilikuwa nane,timu kutoka School saba na timu kutoka Utawala moja.Pamoja na mpira wa Pete na Miguu kulikuwepo mashindano ya kuvuta kamba na kukimbiza kuku,Katika siku ya kufunga...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
Kwa mwaka wa tano mfufulizo, Emmanuel Mhimba amekuwa akiwekeza nguvu nyingi katika kilimo cha mpunga akitarajia mafanikio makubwa.
11 years ago
MichuziNHIF yafanya afya bonanza katika Wilaya ya Temeke,jijini Dar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania