Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO‏

 Mazoezi ya viungo kwa wote.

 Mkurugenzi wa Uwekezaji, Mfuko wa Pensheni wa PPF, Steven Alfred, (mbele kushoto), akimwakilisha mkurugenzi mkuu wa mfuko huo alipoungana na wafanyakazi wa PPF na wale wa NHIF kwenye mazoezi ya viungo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

PPF, NHIF WAFANYA BONANZA LA PAMOJA KUONYESHA USHIRIKIANO


 Kipa wa timu ya soka ya Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, akichupa kuzuia mpira wa penati bila mafanikio wakati timu hiyo ilipomenyana na ile ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, wakati wa bonanza la pamoja la taasisi hizo mbili lililoandaliwa na PPF na kufanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam leo Septemba 5, 2015. Katika bonanza hilo ambalo mgeni rasmi alikuwa Mkurugenzi wa Uwekezaji wa PPF, Steven Alfred, akimwakilisha Mkurugenzi...

 

11 years ago

GPL

MKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH WILLIAM ERIO ATEMBELEA BANDA LA PPF KUJIONEA UTENDAJI KAZI WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA‏


Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiteta jambo na wafanyakazi wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake. Kulia ni Meneja Uhusiano na Masoko wa PPF, Bi Lulu Mengele na Katikati ni Mbaruku.
Mmoja wa Wateja Wa Mfuko wa Pensheni wa PPF akifurahia huduma aliyopewa na Afisa Huduma Kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Jackline Jackson wakati mteja...

 

10 years ago

Michuzi

PPF YAFUTIRISHA WAFANYAKAZI WAKE KUONYESHA MSHIKAMANO

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, (wapili kushoto0, akichukua futari wakati alipowaandalia futari wafanyakazi wake kwenye hoteli ya city garden jijini Dar es Salaam. PPF imekuwa na utaratibu kama huo wa kuwaandalia futari wadau wa Mfuko huo hali kadhalika wafanyakazi wake, kila mwaka ili kuonyesha mshikamano wa pamoja Baadhi ya Wafanyakazi wa PPF wakishirikia kwenye Futari ya pamoja.Mmoja wa wafanyakazi akityoa shukrani kwa niaba ya wwenzake baada ya futari hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

PPF yaandalia futari wafanyakazi wake, ni utaratibu wa kila mwaka kuonyesha mshikamano

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, (wapili kushoto), akichukua futari wakati alipowaandalia futari wafanyakazi wake kwenye hoteli ya City Garden jijini Dar es Salaam. PPF imekuwa na utaratibu kama huo wa kuwaandalia futari wadau wa Mfuko huo hali kadhalika wafanyakazi wake, kila mwaka ili kuonyesha mshikamano wa pamoja Mmoja wa wafanyakazi akityoa shukrani kwa niaba ya wwenzake baada ya futari hiyo. Erio, akizungumza mwishoni mwa hafla hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

BONANZA LA MICHEZO LA PPF LAFANA SANA

Mkufunzi wa mazoezi ya viungo, Taifa Liwewa (Kushoto), akiwaongoza wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakati wa mazoezi ya viungo, kwenye bonanza la michezo lililoandaliwa na Mfuko huo na kufanyika viwanja vya Ustawi wa Jamii, Kijitonyama jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 19, 2014. Mgeni rasmi kqwenye tamasha hilo lililoshirikisha michezo mbalimbali ikiwemo, kuvuta kamba na soka, alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William...

 

11 years ago

Michuzi

BONANZA LA CHUO KIKUU DODOMA LAFAFANA SANA,PPF YATOA UDHAMINI

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM,Prof.Idrissa Kitila mwishoni mwa wiki alifunga BONANZA la michezo mbalimbali iliyofanyika chuoni hapo kwa muda wa wiki moja.Michezo hiyo ilifadhiliwa na mfuko wa mafao ya Jamii PPF ambapo ilikutanisha timu mbali mbali katika mpira wa pete na mguu.
Timu zilizoshiriki zilikuwa nane,timu kutoka School saba na timu kutoka Utawala moja.Pamoja na mpira wa Pete na Miguu kulikuwepo mashindano ya kuvuta kamba na kukimbiza kuku,Katika siku ya kufunga...

 

11 years ago

Mwananchi

Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri

Kwa mwaka wa tano mfufulizo, Emmanuel Mhimba amekuwa akiwekeza nguvu nyingi katika kilimo cha mpunga akitarajia mafanikio makubwa.

 

11 years ago

Michuzi

NHIF yafanya afya bonanza katika Wilaya ya Temeke,jijini Dar

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema akihutubia wananchi wa Manispaa hiyo (hawapo pichani) katika uzinduzi wa Afya Bonanza linalofanywa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa kupima afya bure wananchi kwenye viwanja vya Mwembe Yanga. Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akitoa maelezo ya utangulizi kwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Bonanza hilo. Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akizindua rasmi zoezi la upimaji afya.  Bi. Sophia Mjema naye akipima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani