Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF yafanya afya bonanza katika Wilaya ya Temeke,jijini Dar

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema akihutubia wananchi wa Manispaa hiyo (hawapo pichani) katika uzinduzi wa Afya Bonanza linalofanywa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa kupima afya bure wananchi kwenye viwanja vya Mwembe Yanga. Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akitoa maelezo ya utangulizi kwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Bonanza hilo. Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akizindua rasmi zoezi la upimaji afya.  Bi. Sophia Mjema naye akipima...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR

Ofisa Uratibu na Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Genoveva Vicent (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam jana. Wengine wa pili kushoto ni Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda na Ofisa Mawasiliano wa NHIF, Luhende Singu.Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF.Mtaalamu wa Maabara wa Hospitali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM

Ofisa Uratibu na Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Genoveva Vicent (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam jana. Wengine wa pili kushoto ni Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda na Ofisa Mawasiliano wa NHIF, Luhende Singu.Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF.
Mtaalamu wa Maabara wa Hospitali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

AZIRI WA AFYA MH. SEIF RASHIDI AZINDUA RASMI GHETTO RADIO KATIKA HOSIPITALI YA TEMEKE JIJINI DAR.

Waziri wa Afya Mh. Seif Rashid akiongea na Wauguzi wa Hospitali teule ya Mkoa wa Temeke, Wafanyakazi wa Ghetto Radio ya Sibuka Fm pamoja na wadau mbalimbali wakati wa uzinduzi Rasmi wa Radio hiyo, ambayo lengo lake ni kuwakomboa vijana wa Mtaani pamoja na vipindi vingine vya kuelimisha Jamii na Burudani, Pia amewashukuru kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali ambavyo vitasaidia katika Hospitali hiyo leo Tarehe 1.11.2014 Mkurugenzi wa Sibuka George Ndagali akizungumza wakati wa hafla ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Afya Mh. Seif Rashidi azindua rasmi Ghetto Radio katika hosipitali ya Temeke Jijini Dar

Waziri wa Afya Mh. Seif Rashid akiongea na Wauguzi wa Hospitali teule ya Mkoa wa Temeke, Wafanyakazi wa Ghetto Radio ya Sibuka Fm pamoja na wadau mbalimbali wakati wa uzinduzi rasmi wa Radio hiyo, ambayo lengo lake ni kuwakomboa vijana wa mtaani pamoja na vipindi vingine vya kuelimisha Jamii na Burudani, Pia amewashukuru kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali ambavyo vitasaidia katika Hospitali hiyo Tarehe 1.11.2014

 

Mkurugenzi wa Sibuka George Ndagali akizungumza wakati wa hafla ya...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA AFYA MH. SEIF RASHIDI AZINDUA RASMI GHETTO RADIO KATIKA HOSIPITALI YA TEMEKE JIJINI DAR.‏

Waziri wa Afya Mh. Seif Rashid akiongea na wauguzi wa Hospitali teule ya Mkoa wa Temeke, wafanyakazi wa Ghetto Radio ya Sibuka Fm pamoja na wadau mbalimbali wakati wa uzinduzi rasmi wa radio hiyo, ambayo lengo lake ni kuwakomboa vijana wa mtaani pamoja na vipindi vingine vya kuelimisha jamii na burudani, pia amewashukuru kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali ambavyo vitasaidia katika Hospitali hiyo jana tarehe 1.11.2014.… ...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF yaendelea kutoa somo kwa wadau wa afya jijini dar

Mratibu wa Mtandao wa Mfuko wa Afya ya Jamii (TNCHF), Camillius Haule (kulia) akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano kati ya Maafisa wa NHIF na wadau wao,juu ya Mpango wa Kikoa (Mutual Plan) unaoratibiwa na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Msimbazi Center,Ilala jijini Dar es Salaam.Wengine pichani ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Kanda ya Temeke,Ellentruda Mbogoro (wa pili kulia),Afisa Uratibu wa NHIF kutoka Makao Makuu,Catherine...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WAVUVI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) Bwana Michael Mhando akizungumza na wafanyabiashara   wa wasamaki katika Soko la  feri  hawapo pichani juu ya vikundi  vya    wajasiliamali wadogo na wakubwa  kujiunga na  Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) Bwana Michael Mhando  akimkabidhi kadi ya uanachama ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF)  Mvuvi wa Samaki wa Soko Kuu...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) WASANI MKATABA NA TFF LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo umesaini mkataba na Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu nchini (TFF) wa kuwa mdhamini rasmi wa bima za afya kwa vilabu vya ligi kuu ya Vodacom nchini.  Akizungumza wakati wa kutia saini mkataba huo Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bwana Rehani Athumani, amesema katika udhamini huo utakaodumu kwa mwaka mmoja NHIF itakuwa inatoa huduma za matibabu kwa wachezaji na benchi la ufundi kwa klabu zote 16 za ligi kuu, huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani