Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
Kwa mwaka wa tano mfufulizo, Emmanuel Mhimba amekuwa akiwekeza nguvu nyingi katika kilimo cha mpunga akitarajia mafanikio makubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Je kinga ya virusi vya corona itaziba pengo la chanjo kati ya nchi tajiri na maskini?
5 years ago
MichuziUCHUMI WA NCHI NI IMARA UNAKUA KILA MWAKA
Akizungumza wakati wa semina kwa waandishi wa habari kuhusiana na Uchumi na Fedha , Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti za Uchumi BoT, Dkt. Suleiman Misango amesema kuwa uchumi wa nchi unakua kila mwaka na kwa kipindi cha mwaka 2018 uchumi ulikua kwa asilimia 7 na kwa mwaka...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Tunaelezwa uchumi unakua, mbona umaskini nao unaongezeka?
10 years ago
GPLMATAJIRI WALIKUWA MASKINI, UNACHOSHINDWA WEWE NI KIPI?
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa
OPRAH WINFREY.
Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.
Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”
Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Matajiri duniani wazidi kunona, maskini wateseka, kusononeka
5 years ago
MichuziTANZANIA YAKABIDHIWA TAKWIMU ZA UFANYAJI BIASHARA KATI YAKE NA JUMUIYA YA MADOLA.
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) (katikati aliyeshika kalamu) akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bi Patricia Scotland. Kushoto kwa Prof. Kabudi ni Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Geneva,Uswisi Balozi Maimuna Tarishi pamoja na Wakurugenzi na Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo za Jumuiya hiyo zilizopo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Pengo la maskini, tajiri kuchafua nchi
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Alfred Msovela, amesema kuna uwezekano wa taifa kuingia katika machafuko kutokana na kuwepo kwa matabaka ya wenye nacho na wasiokuwa nacho. Alisema kutokana na wachache kuwa na...
10 years ago
StarTV17 Jan
Tanzania kuingia nchi zenye uchumi wa kati.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Tanzania inakusudia kuingia katika jumuiya ya nchi zenye uchumi wa kati huku ikiwa na vijana wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira barani Afrika.
Alisema ili kufikia hayo, mashirika binafsi yanatakiwa kuanza kutoa elimu kwa vijana ambao ndio taifa la sasa, kujiandaa katika kukabiliana na changamoto hiyo.
Katika uzinduzi wa mkakati wa utekelezaji wa...