UCHUMI WA NCHI NI IMARA UNAKUA KILA MWAKA
IMEELEZWA kuwa Benki kuu ya Tanzania imeendelea Kuhakikisha inatoa Fedha kuendana na ukuaji wa uchumi nchini, na hiyo ni pamoja na kuangaalia Fedha iliyopo inaendana na kasi ya ukuaji uchumi wa nchi ambao unakua kila mwaka.
Akizungumza wakati wa semina kwa waandishi wa habari kuhusiana na Uchumi na Fedha , Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti za Uchumi BoT, Dkt. Suleiman Misango amesema kuwa uchumi wa nchi unakua kila mwaka na kwa kipindi cha mwaka 2018 uchumi ulikua kwa asilimia 7 na kwa mwaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Tunaelezwa uchumi unakua, mbona umaskini nao unaongezeka?
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Jumuiya ya A. Mashariki: Mwaka 2013 iliyumba, kila nchi ilifanya yake
9 years ago
StarTV17 Nov
Serikali yashauriwa kuweka mikakati imara ya kuimarisha uchumi
Chama cha Tathmini Tanzania kimeishauri Serikali kuweka mikakati imara ya kufanya tathmini na kutumia takwimu katika utungaji wa sera na mipango mbalimbali ya nchi ili kuwawezesha wananchi kuimarika kiuchumi.
Imesemekana kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazijaweka kipaumbele umuhimu wa kufanya tathmini katika miradi na matumizi ya takwimu kwenye uamuzi ,jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya watanzania.
Wakati Tanzania ikiajiandaa kuadhimisha siku ya Tathmini Duniani...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Maridhiano muhimu kupata Katiba Mpya, nchi bora, imara na yenye ustawi wa uhakika
5 years ago
CCM BlogTAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21 WAWASILISHWA BUNGENI, LEO
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee na kujadili Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21. Pamoja na hotuba hii ninawasilisha vitabu vya Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Kila mtu akipiga ‘pushapu’, uchumi wetu utapaa
NIMESOMA kwa makini maelezo ya mwandishi Ben Saanane kwenye matoleo yaliyopita ya gazeti hili.
Ezekiel Kamwaga
11 years ago
Michuzi16 Jun
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
JK: Uchumi wa nchi unategemea barabara
RAIS Jakaya Kikwete amesema uchumi wa nchi yoyote duniani unategemea barabara nzuri pamoja na miundombinu bora. Alitoa kauli hiyo alipowahutubia wananchi wa Korogwe, mkoani Tanga, kabla ya kuzindua sehemu ya...