Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Uchumi wa nchi unategemea barabara

RAIS Jakaya Kikwete amesema uchumi wa nchi yoyote duniani unategemea barabara nzuri pamoja na miundombinu bora. Alitoa kauli hiyo alipowahutubia wananchi wa Korogwe, mkoani Tanga, kabla ya kuzindua sehemu ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria: Uchumi unategemea kuwepo kwa kawi

Kwa jumla Nigeria hukosa umeme kwa jumla ya siku 46 kwa mwaka

 

11 years ago

Habarileo

KWA NINI SERIKALI 2 HAZIEPUKIKI?:Uchumi Zanzibar unategemea Bara

Sehemu ya mji wa ZanzibarWAKATI Bunge Maalum la Katiba likisuasua katika kuunda kanuni za kuongoza wajumbe wake, taarifa zinaonesha katika muundo uliopo wa serikali mbili, mbali na kuimarisha umoja na mshikamano wa Taifa, pia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekuwa ikinufaika nao kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Handeni — Mkata mhimili wa kukuza uchumi

BARABARA ni njia inayounganisha maeneo mawili au zaidi. Katika nchi yoyote barabara imekuwa ndiyo njia kuu ya uchumi, kwa kuwa husafirisha wafanyabiashara pamoja na mizigo. Ndiyo maana  nchi yoyote yenye...

 

9 years ago

Mwananchi

Ujenzi barabara za Vijijini (MIVAPF) kuimarisha uchumi Pemba

Wizara ya Kilimo na Maliasili Pemba imesema kukamilika kwa ujenzi wa barabara za  vijijini (MIVAPF) kutaimarisha uchumi kwa wananchi wa Kisiwa hicho kwani kutarahisisha usafiri pamoja na usafirishaji wa mazao ya wakulima .

 

10 years ago

Habarileo

‘Barabara ya lami ya Dodoma hadi Iringa itakuza uchumi’

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kufunguka kwa barabara kutoka Dodoma hadi Iringa, kutakuza shughuli za kiuchumi na kupunguza umasikini kutokana na barabara hiyo kuwa sehemu ya barabara kuu inayoanzia Cape Town nchini Afrika Kusini kupitia Tanzania hadi Cairo, Misri, maarufu kama The Great North Road.

 

10 years ago

Mwananchi

Waaswa kuinua uchumi wa nchi

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk Rehema Nchimbi amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vya elimu ya juu mkoani Dodoma kutumiafursa waliyonayo kuisaidia nchi kusonga mbele na kufikia uchumi wa juu zaidi.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO

Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba –Ethiopia. Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na kamisheni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utalii kukuza uchumi nchi za Afrika

KATIKA  kukuza  soko la utalii hivi karibuni  Afrika Kusini ilifungua ofisi mjini Lagos nchini Nigeria. Ufunguzi wa ofisi hiyo ni ishara ya mwingiliano wa utalii baina ya nchi za Kiafrika ...

 

9 years ago

Mwananchi

Benki Kuu na maendeleo ya uchumi wa nchi

Mtikisiko wa uchumi duniani wa mwaka 2008 umetoa changamoto nzito kuhusu majukumu ya benki kuu katika kusimamia uchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani