Utalii kukuza uchumi nchi za Afrika
KATIKA kukuza soko la utalii hivi karibuni Afrika Kusini ilifungua ofisi mjini Lagos nchini Nigeria. Ufunguzi wa ofisi hiyo ni ishara ya mwingiliano wa utalii baina ya nchi za Kiafrika ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Bidhaa za ndani zinaweza kukuza uchumi wa nchi
KUKUZA fursa za mitaji ni miongoni mwa dhana zilizojengeka midomoni mwa walio wengi huku wakiita ni dhana ya kijasiriamali. Kila mmoja aliyeweza kukuza mitaji kwa njia yoyote ile, hujiita mjasiriamali...
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Jovago Tanzania; Simu za kisasa zitumike katika kukuza uchumi wa nchi
Matumizi ya simu za kisasa (smartphones) yameonyesha kuongezeka kwa kasi ambapo zaidi ya Terabyte 76,000 hutumika kwa mwezi mmoja, hii imekuwa ni mara mbili ya takwimu zilizofanyika mwaka 2013 ambapo kulikuwa na matumizi ya TB 37,500 kwa mwezi mmoja katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara. (Ripoti ya Subsaharan Africa Ericsson Mobility, 2014).
Kwa upande mwingine , soko la simu za kisasa pia linakua kwa kasi, ambapo inaonyesha kuwa kutakuwa na ongezeko la mara mbili ya manunuzi ya simu...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Nchi za Afrika kukuza sekta ya uvuvi
NCHI za Afrika zimekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha sekta ya uvuvi inakuwa na mchango mkubwa katika kukuza uchumi kwenye nchi hizo. Akizungumza katika semina iliyoandaliwa na Umoja wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z6TWxWPqoHY/VoH-WjUW8PI/AAAAAAAIPF0/DBTsjgJSnKo/s72-c/3db1384b-0a1c-4f01-b51c-b6b6da09d9bb.jpg)
Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.
11 years ago
Dewji Blog23 May
Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Watanzania waishio nchini Japan, awaasa kurejea nyumbani kutumia ujuzi walioupata kukuza uchumi wa nchi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na watanzania waishio nchini Japan, wakati alipokutana nao kwa mazungumzo yaliyofanyika kwenye Hoteli ya The New Otani, wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi nchini humo, jana Mei 21, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona. (Picha na OMR).
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Japan (Tanzanite Society) David Semiono, akisoma risala ya Jumuiya yao wakati wa hafla...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s72-c/connect.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s1600/connect.jpg)
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
11 years ago
Michuzi06 Jul
MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI
![IMG-20140704-WA0013](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/r2LSli62xS-DrKoeE7H18HvhROyRrcWbYRYYnHPzYQQ-QLdjsfuLNmYfe1gfw3k98Lvm2kOBQA-1lydnyBiRbOwjXAvkN-mRLl3TJa7Zds3Ccx8tJE_Kssk18jy8xzU8cAjFxMb0Gm7J=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0013.jpg?w=627&h=459)
![IMG-20140704-WA0009](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/4NDdpxtkd9rxmhSs1_0-F0Krc-z7zBzfwMvqlWZ0g-cmcVKjjo9O9Yx3jmw1Xe9bu32x2LXLhqUrXexKsES8OUGAT0enFPZOcfPo2zLpssFEmiSRWUQ19m5YQQqrmh6o4Ev5hHjaPmYT=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0009.jpg?w=627&h=475)
![IMG-20140704-WA0004](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Srya6vP9bRhpBSugEtJsKszO677yH65MOHYRHikT8DFmUSWIVFP4cLTD3KMX4iP4QoXv20_ucVrfmOrzC-oIZcWDOM5YM88EVnvmF84MLmHePhE7zsmH75zWZjbsBn001TqaSuPHsEfI=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0004.jpg?w=627&h=402)
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Serikali yajipanga kukuza utalii