Jovago Tanzania; Simu za kisasa zitumike katika kukuza uchumi wa nchi
Matumizi ya simu za kisasa (smartphones) yameonyesha kuongezeka kwa kasi ambapo zaidi ya Terabyte 76,000 hutumika kwa mwezi mmoja, hii imekuwa ni mara mbili ya takwimu zilizofanyika mwaka 2013 ambapo kulikuwa na matumizi ya TB 37,500 kwa mwezi mmoja katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara. (Ripoti ya Subsaharan Africa Ericsson Mobility, 2014).
Kwa upande mwingine , soko la simu za kisasa pia linakua kwa kasi, ambapo inaonyesha kuwa kutakuwa na ongezeko la mara mbili ya manunuzi ya simu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Sekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Utalii kukuza uchumi nchi za Afrika
KATIKA kukuza soko la utalii hivi karibuni Afrika Kusini ilifungua ofisi mjini Lagos nchini Nigeria. Ufunguzi wa ofisi hiyo ni ishara ya mwingiliano wa utalii baina ya nchi za Kiafrika ...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Bidhaa za ndani zinaweza kukuza uchumi wa nchi
KUKUZA fursa za mitaji ni miongoni mwa dhana zilizojengeka midomoni mwa walio wengi huku wakiita ni dhana ya kijasiriamali. Kila mmoja aliyeweza kukuza mitaji kwa njia yoyote ile, hujiita mjasiriamali...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Mwanamke ni nguzo katika kukuza uchumi wa familia
KWA kiasi kikubwa jamii inashindwa kutambua kuwa kumuelimisha mwanamke ni njia moja wapo ya kuiokoa jamii katika wimbi la umaskini. Hakuna asiyefahamu mwanamke katika familia ndiye nguzo kuu katika uzalishaji,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z6TWxWPqoHY/VoH-WjUW8PI/AAAAAAAIPF0/DBTsjgJSnKo/s72-c/3db1384b-0a1c-4f01-b51c-b6b6da09d9bb.jpg)
Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.
10 years ago
Habarileo04 Feb
Tanzania, Ujerumani kukuza uchumi
RAIS Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck wamekubaliana katika kukuza ushirikiano wa kiuchumi, huku Rais Kikwete akiitaka Serikali ya Ujerumani kuenedelea kuisaidia Tanzania katika kukuza uchumi kwa kutoa misaada ya maendeleo na kuwekeza zaidi.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ujenzi: Sekta muhimu katika kukuza uchumi, yenye changamoto lukuki
11 years ago
Dewji Blog23 May
Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Watanzania waishio nchini Japan, awaasa kurejea nyumbani kutumia ujuzi walioupata kukuza uchumi wa nchi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na watanzania waishio nchini Japan, wakati alipokutana nao kwa mazungumzo yaliyofanyika kwenye Hoteli ya The New Otani, wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi nchini humo, jana Mei 21, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona. (Picha na OMR).
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Japan (Tanzanite Society) David Semiono, akisoma risala ya Jumuiya yao wakati wa hafla...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeIOCOaueNc/VRrEKiMEgOI/AAAAAAAHOlo/IqsGRxrpJ8o/s1600/unnamed%2B(8).jpg)