Mwanamke ni nguzo katika kukuza uchumi wa familia
KWA kiasi kikubwa jamii inashindwa kutambua kuwa kumuelimisha mwanamke ni njia moja wapo ya kuiokoa jamii katika wimbi la umaskini. Hakuna asiyefahamu mwanamke katika familia ndiye nguzo kuu katika uzalishaji,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Sekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi
![](https://1.bp.blogspot.com/-AOTD59zbVW8/Xk680lr-ZMI/AAAAAAACBG0/BxSbJXTZPsAUF4niHWYQ98VzhBh-aXzTACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200220-WA0019.jpg)
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ujenzi: Sekta muhimu katika kukuza uchumi, yenye changamoto lukuki
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Jovago Tanzania; Simu za kisasa zitumike katika kukuza uchumi wa nchi
Matumizi ya simu za kisasa (smartphones) yameonyesha kuongezeka kwa kasi ambapo zaidi ya Terabyte 76,000 hutumika kwa mwezi mmoja, hii imekuwa ni mara mbili ya takwimu zilizofanyika mwaka 2013 ambapo kulikuwa na matumizi ya TB 37,500 kwa mwezi mmoja katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara. (Ripoti ya Subsaharan Africa Ericsson Mobility, 2014).
Kwa upande mwingine , soko la simu za kisasa pia linakua kwa kasi, ambapo inaonyesha kuwa kutakuwa na ongezeko la mara mbili ya manunuzi ya simu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s72-c/1.jpg)
Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL
![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pXWbG8ksrqk/U_cUtFa72MI/AAAAAAACn2c/yS4Lt7JfRE4/s1600/4.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Feb
Tanzania, Ujerumani kukuza uchumi
RAIS Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck wamekubaliana katika kukuza ushirikiano wa kiuchumi, huku Rais Kikwete akiitaka Serikali ya Ujerumani kuenedelea kuisaidia Tanzania katika kukuza uchumi kwa kutoa misaada ya maendeleo na kuwekeza zaidi.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Miaka 2 ya Mgimwa, kukuza uchumi
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Kikwete: Ni wakati wa kukuza uchumi
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Ukanda wa Kati wapania kukuza uchumi
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Utalii kukuza uchumi nchi za Afrika
KATIKA kukuza soko la utalii hivi karibuni Afrika Kusini ilifungua ofisi mjini Lagos nchini Nigeria. Ufunguzi wa ofisi hiyo ni ishara ya mwingiliano wa utalii baina ya nchi za Kiafrika ...