Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL

 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power Solutions (PAP), Bw. Harbinder Sethi (Kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) maboresho yaaliyofanyika katika kiwanda hicho tangu PAP ilipochukua uongozi wa IPTL. Wakishuhudia ni baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya IPTL. 
 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaangusha nguzo 35 za umeme

MVUA iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo ikiambatana na kimbunga, imeangusha nguzo 35 za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kusababisha ukosefu wa umeme kwa wilaya za Handeni na Kilindi, mkoani...

 

9 years ago

Habarileo

Umeme wa uhakika kesho

SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) kesho linatarajia kuwasha rasmi mitambo inayotumia umeme wa gesi inayotoka Mtwara, huku ikielezwa kuwa tatizo la upatikanaji umeme wa uhakika, sasa litakuwa historia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke ni nguzo katika kukuza uchumi wa familia

KWA kiasi kikubwa jamii inashindwa kutambua kuwa kumuelimisha mwanamke ni njia moja wapo ya kuiokoa jamii katika wimbi la umaskini. Hakuna asiyefahamu mwanamke katika familia ndiye nguzo kuu katika uzalishaji,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nguzo za zege kuleta neema ya umeme

UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...

 

11 years ago

GPL

NGUZO YA UMEME YADONDOKEA NYUMBA MKWAJUNI KINONDONI

Nguzo ya umeme ikiwa juu ya paa baada ya kuanguka leo huko Mkwajuni, Kinondoni. Mkazi wa jijini akipita jirani na nguzo hiyo iliyoanguka. Nguzo inavyoonekana kwa…

 

5 years ago

Michuzi

Sekta ya mawasiliano ya simu ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi

Mabadiliko ya kidijitali yamekuwa moja ya chachu kubwa ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo nchini. 
 
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa WCO amesema mbali na faida nyingi, uwekezaji katika teknolojia ya kidijitali ni mojawapo ya njia bora ya kukusanya kodi na mapato ya serikali, hivyo kuwezesha utoaji bora wa huduma nyingine...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme

Wataalam wa Sekta ya Umeme kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na Shirika la Umeme nchini (Tanesco), wakiongozwa na Kamishna Msaidizi wa Umeme Mhandisi Innocent Luoga (wa kwanza kushoto), wakiwa katika mazungumzo na wawakilishi wa Kampuni ya Sunshine Group Ltd (Kulia). Mazungumzo yalifanyika hivi karibuni Makao Makuu ya Wizara, jijini Dar es Salaam na yalihusu uanzishwaji wa Kiwanda cha kutengeneza nguzo za umeme za zege kwa ajili ya kusambaza umeme nchini.Ujumbe kutoka Kampuni ya...

 

11 years ago

GPL

NGUZO ZA UMEME ZILIZOKAA KIHATARI KATIKA MITAA YA DAR

  Nguzo ya umeme ambayo imeinama kihatari maeneo ya Mbagala-Rangi Tatu japokuwa shirika la umeme nchini, Tanesco, halina habari na wapita njia wa eneo hilo pia hawakuwa na wasiwasi na jambo hilo. Nguzo ya taa za barabarani ikiwa imeinamia barabarani eneo la Msasani, jambo…

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco yaahidi umeme wa uhakika wiki hii

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema umeme wa uhakika utaanza kupatikana mwishoni mwa wiki baada mitambo ya kufua umeme ya Ubungo kuwashwa kwa ajili ya majaribio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani