Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umeme wa uhakika kesho

SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) kesho linatarajia kuwasha rasmi mitambo inayotumia umeme wa gesi inayotoka Mtwara, huku ikielezwa kuwa tatizo la upatikanaji umeme wa uhakika, sasa litakuwa historia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tanesco yaahidi umeme wa uhakika wiki hii

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema umeme wa uhakika utaanza kupatikana mwishoni mwa wiki baada mitambo ya kufua umeme ya Ubungo kuwashwa kwa ajili ya majaribio.

 

10 years ago

Habarileo

Dar kuwa na umeme wa uhakika miaka miwili ijayo

WIZARA ya Nishati na Madini, imewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam kuwa na umeme wa uhakika ndani ya miaka miwili, huku ikianza kuachana na mpango wa kuwa na nguzo za miti badala yake kutumia za zege.

 

10 years ago

Michuzi

Umeme wa uhakika, Chato, Biharamulo kupatikana Juni, 2015

Na Teresia Mhagama
Imeelezwa kuwa wilaya za Chato na Biharamulo zitapata umeme wa uhakika ifikapo mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka huu mara baada ya kukamilika kwa ufungaji wa mtambo wa pili wa umeme wilayani Biharamulo mkoani Kagera.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Kagera na kujionea maendeleo ya ufungaji wa mtambo huo utakozalisha umeme wa kiasi cha kilowati 650. Mwijage amesema kuwa mtambo huo utakaoanza kazi...

 

10 years ago

Michuzi

Chato, Biharamulo kupata umeme wa uhakika kuanzia Jumapili

Na Teresia Mhagama Imeelezwa kuwa Wilaya za Chato na Biharamulo zitaanza tena kupata umeme wa uhakika ifikapo Jumapili ya tarehe 19 Julai, 2015 baada ya kukamilika kwa ukarabati wa mtambo wa umeme wa kilowati 650 unaohudumia wilaya hizo.  Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Kagera na kujionea maendeleo ya ufungaji wa mtambo huo wa pili uliofungwa wilayani Biharamulo ambao ulianza kufanya kazi mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL

 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power Solutions (PAP), Bw. Harbinder Sethi (Kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) maboresho yaaliyofanyika katika kiwanda hicho tangu PAP ilipochukua uongozi wa IPTL. Wakishuhudia ni baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya IPTL. 
 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power...

 

10 years ago

Michuzi

TANESCO KUMALIZA KERO YA UMEME DAR KESHO NOVEMBA MOSI


Na  Mwene Said 


Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema usumbufu wa kukatika kwa umeme uliojitokeza wiki moja iliyopita limetokana na usafi wa visima vya mafuta na kwamba hadi kufikia kesho hali itarudi kawa kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukaguzi wa mtambo wa kuchuja umeme Tandika,  jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Bw.Felchesmi Mramba (pichani)  alisema usumbufu huo ulitokana na Kampuni ya Pan Afrika kufanya usafi kwenye visima vyake vya...

 

10 years ago

Vijimambo

DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.

           NUNUA YAKO SASA INGIA..    WWW.DIAMONDUSATOUR.COM AU PIGA 3016616207 NOW.

 

10 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA





Mhandisi  Emmanuel Manirabona akiwaeleza  wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa  habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo

Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya  akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini




Akiwaonyeshea wandishiwa habari moja ya nyaya  ambazo zilizokatwa na...

 

11 years ago

Michuzi

Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo

                     Hii ndio breaker liyoungua na kusabibisha maeneo ya mjini Ubguja kukosa umeme leo


 Mafundi kutoka ZECO wakiwa katika harakati za kutengeneza panel iliyoleta hitilafu za umeme na kupelekea maeneo yote ya mji wa Unguja kukosa umeme


Baada ya kukamilika kwa matengenezo


Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani