SHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
Mhandisi Emmanuel Manirabona akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo
Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini
Akiwaonyeshea wandishiwa habari moja ya nyaya ambazo zilizokatwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Aug
Tanesco yatambulisha kifaa cha umeme
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme (Tanesco) mkoani hapa limetambulisha kifaa kipya ambacho ni mbadala wa kutandaza nyaya za umeme kwa maandalizi ya kupata umeme wa shirika hilo kwa wafugaji wa kuku pamoja na wananchi wanaojenga chumba kimoja ama viwili.
10 years ago
Habarileo17 Jan
Mradi wa kusambaza umeme Kipawa wahujumiwa
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya Sh milioni 200 baada ya watu wasiofahamika kuhujumu kwa kuiba nyaya 25 katika mradi wa kituo cha kusambaza umeme cha Kipawa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo06 Jan
Ashambuliwa kwa nyaya za umeme, ajeruhiwa
MKAZI wa Kitangiri jijini hapa, Biera Edwin (22) amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.
9 years ago
Habarileo21 Sep
Sefue afagilia ubora wa nyaya za umeme
KATIBU Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue amesema soko la nyaya za umeme nchini limekua na ameipongeza kampuni inayohusika na kutengeneza nyaya ya East African Cables kwa kutengeneza nyaya zenye ubora wa hali ya juu.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s72-c/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
TANESCO YAAGIZWA KUIMARISHA KIKOSI CHA UKAGUZI WA WATUMIAJI WA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s400/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud alipokuwa akizungumzia ukaguzi wa wezi wa umeme nchini.
“Umeme unaotumika kwa sasa unazalishwa kwa kiasi kikubwa na gesi asilia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCJjE4najr9bCzxEfpLHWJYpa8sHvxa3iQXBKhWphJ3HUGnCtO3BZ1S6mQPm*aDI536ksKGoBNNs4VV72Yl8zq4G/moto1.jpg?width=650)
MOTO WATEKETEZA KITUO CHA KUPOZEA UMEME CHA MJINI MOSHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-D-icBa96bjg/VL7eQ88WH-I/AAAAAAAG-jA/MiZqFGdxw4E/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Naibu Waziri Mhagama avutiwa na kituo cha kuzalisha Umeme Vijijini cha Kikuletwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-D-icBa96bjg/VL7eQ88WH-I/AAAAAAAG-jA/MiZqFGdxw4E/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zHNYm1OQzLE/VL7eQoHV05I/AAAAAAAG-i8/zhnGwvWTzHM/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0U22-QY_ncs/VL7eQpXIzqI/AAAAAAAG-jE/nkgXacY-owA/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Rais Mugabe azindua kituo cha umeme
10 years ago
VijimamboTransfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-kE91SlGXns0/VLkDLPvTDSI/AAAAAAAG9zc/EPpxlsoj2l4/s640/IMG-20150116-WA0002.jpg)