Ashambuliwa kwa nyaya za umeme, ajeruhiwa
MKAZI wa Kitangiri jijini hapa, Biera Edwin (22) amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
9 years ago
Habarileo21 Sep
Sefue afagilia ubora wa nyaya za umeme
KATIBU Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue amesema soko la nyaya za umeme nchini limekua na ameipongeza kampuni inayohusika na kutengeneza nyaya ya East African Cables kwa kutengeneza nyaya zenye ubora wa hali ya juu.
11 years ago
Habarileo10 Apr
Waiba nyaya zinazopeleka umeme ofisi kuu ya CCM Arusha
WATU wasiofahamika wamekata waya mkubwa wa umeme kutoka kwenye nguzo hadi chini na kusababisha ofisi kuu ya CCM, Mkoa wa Arusha kukosa umeme.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s72-c/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
WAFANYABIASHARA VIFAA VYA UMEME DAR WALALAMIKIA NYAYA ZISIZO NA UBORA,WAIOMBA TBS KUFANYA MSAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/--1H5nRVQnFA/XsZxd-IEzHI/AAAAAAALrHE/XJxze2bZ7TAtS3lyPp19loWXC9jVDQBtgCLcBGAsYHQ/s320/eb049305-fce8-41a8-992d-8a41768d87da.jpg)
BAADHI ya wafanyabiashara ya kuuza vifaa vya umeme vya aina mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam wamelalamikia uwepo wa vifaa hivyo na hasa nyaya ambazo ziko chini ya kiwango na ubora ambazo zinatengenezwa na baadhi ya viwanda vilivyopo nchini, hivyo wametoa ombi kwa Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na tume ya ushindani (FCC) kufanya msako viwandani na madukani ili kubaini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-387nXVcgDjk/Xs_ahlGIlfI/AAAAAAALr68/yxNvmCcn66EP9d3g5QFxzoMBVa1CjyIrgCLcBGAsYHQ/s72-c/c91071f6-1e83-4b07-9f9c-fb19f2c9a868.jpg)
TBS YAWASHAURI WANANCHI, WAFANYABIASHARA KUTOA TAARIFA ZITAKAZOSAIDA KUBAINI WALISHAJI NYAYA ZA UMEME ZISIZOKUWA NA VIWANGO, UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-387nXVcgDjk/Xs_ahlGIlfI/AAAAAAALr68/yxNvmCcn66EP9d3g5QFxzoMBVa1CjyIrgCLcBGAsYHQ/s320/c91071f6-1e83-4b07-9f9c-fb19f2c9a868.jpg)
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS)limewashauri wananchi na wafanyabiashara wote nchini kutoa taarifa zitakazosaidia kuwabaini wazalishaji wa bidhaa za umeme hususani nyaya, zisizo na viwango ili waweze kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa upimaji na ugezi wa Bidhaa kutoka TBS Johanes Maganga alipokuwa akizungumza jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka kwa malalamiko ya baadhi ya wafanyabiashara kuhusu uwepo wa baadhi ya...
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Atupwa jela kwa kuiba nyaya za TTCL
MKAZI wa Kinondoni jijini Dar es Salaam Shaibu Ndina, amehukumiwa kwenda jela miaka minne kutokana na wizi wa nyaya za kampuni ya Simu Tanzania (TTCL). Hukumu hiyo ilitolewa juzi na...
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Mjumbe ashambuliwa kwa kipigo
![Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Lowassa-na-mgonjwa.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.
Na Esther Mbussi, Dodoma
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgori, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Dodoma, baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana.
Tukio hilo lilitokea juzi saa mbili usiku, eneo la Area A, ambako watu hao...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Ustadhi ajeruhiwa kwa bomu Arusha
MILIPUKO inayodhaniwa kuwa mabomu imezidi kushamiri katika Jiji la Arusha, baada ya watu wawili kujeruhiwa na kilichodaiwa kuwa ni bomu la kutupa kwa mkono. Waliojeruhiwa ni Ustadhi Sudi Ali Suli,...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Sheikh ajeruhiwa kwa bomu Arusha